INAUZWA Special Thread: Tunauza Viwanja, Mashamba na Nyumba
Bei rahisi Sana- nyumba ya kuanzia bilioni hiyo- Kama haina shida haimalizi wiki- waliobarikiwa wanachukua.
 
Bei rahisi Sana- nyumba ya kuanzia bilioni hiyo- Kama haina shida haimalizi wiki- waliobarikiwa wanachukua.
Haina majini au migogoro? Maswala usiku mmelala mnasikia sauti za viatu mtu anatembea kwenye korido [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
mbona bei ndogo sana?!!
kuna tatizo lolote?
Mln.300?!!
au na bei umekosea?
Inafikirisha sana maana dah! Nyumba bora iwe na nyufa ila sio iwe na mauzauza usiku ushindwe kulala kwa vishindo vya ajabu ajabu
 
Back
Top Bottom