nandengele
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 689
- 805
Aisee pesa ndio changamoto but maeneo hayo ukiweka uwekezaji iv daaNdio mkuu plot ipo mbele ya apartments za sea breeze....barabarani kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee pesa ndio changamoto but maeneo hayo ukiweka uwekezaji iv daaNdio mkuu plot ipo mbele ya apartments za sea breeze....barabarani kabisa
Pesa ngumu mkuu..hakuna kingineHi nyumba tangu mwaka jana hainunuliki kulikoni?
Ahsante kwa offa...ila hailipi mkuu250m itapendeza.
Nyumba ina tatizo gani? Sorry niljua gari nimeona bei ndogo
Mkuu naitaka hiyo raman, vip naweza ipata?Nyumba Nzuri sana INAUZWA Tabata BARACUDA MILIONI 160 TU
Nyumba ina vyumba vitatu vikubwa kimoja master
Pia ina Dining na sitting room ya kisasa sana
Jiko kubwa na zuri + parking kubwa ya magari
Nyumba ina hati miliki safi kabisa na haijawahi kukopewa benki
Nyumba ipo karibu sana kutoka barabarani ni mwendo wa dakika 1 tu
BEI NI MILIONI 160 TU......Wahi sasa![]()
![]()
![]()
![]()
Mawasiliano 0677 818283
View attachment 1863018View attachment 1863019View attachment 1863020View attachment 1863021View attachment 1863022View attachment 1863023View attachment 1863024View attachment 1863025
Wawekezaji wanajuaAisee pesa ndio changamoto but maeneo hayo ukiweka uwekezaji iv daa
Umeelewek mkuuProf J alikuwa anakaa Mbezi ya Kimara kabla hajabomolewa......alafu mm sio muuzaji wa eneo...
250m Segera ninamaliza ghorofa na location ya highway ile ninaweka bed and breakfast, vyoo lama 40 vya kulipia, petrol station na mgahawa.250m itapendeza.
Ahsante kwa offa...ila hailipi mkuu
Thamani yake haiendani na offa aliyotoa...Kulipa nini, kwani kiwanja (ardhi) kina gharama zipi ulizoweka?
250m Segera ninamaliza ghorofa na location ya highway ile ninaweka bed and breakfast, vyoo lama 40 vya kulipia, petrol station na mgahawa.
Ngoja waje wataalamuWataalamu wa majengo naomba kuuliza mjengo kama huo na jinsi ulivyo unaweza kuwekewa mfumo wa elevator au escalator?