Shamba lipo fukayosi bagamoyo..lilikuwa la mananasi msimu uliopita na linatoa mananasi mazuri sana.
lipo fukayosi bagamoyo - km 10 kutoka bagamoyo road
shamba lina heka 15
document zote za serikali ya kijiji zipo na halina migogoro yoyote
bei ni milioni 18 tu
nauza lote sikati nusu nusu
mawasiliano 0677 818283

 
The location dear
Uzuri ni plot kubwa nusu ekari and the location matters its rather not for business center but its specifically prime area.

Those residences not everyone can afford to live and occupy even a small size of land. Tycoons and mogul are better preferred over their.
 
Okay Asante kwa taarifa, yule jamaa anauza viwanja 1.5 fukayosi eti vipo 100m toka bagamoyo road dalali mwanamke yeye vipi?
 
Nyumba ipo tuangoma kigamboni - km 1.5 kutoka barabara ya lami
ina vyumba 4 viewili ni master
dining,sitting room,jiko na public toilet ipo pia kuna choo cha nje
nyumba ina eneo kubwa sana sqm 1200
bei ni milioni 210 tu
mawasiliano 0677 818283

 
Okay Asante kwa taarifa, yule jamaa anauza viwanja 1.5 fukayosi eti vipo 100m toka bagamoyo road dalali mwanamke yeye vipi?
Nahisi, yeye anauza 1.5 ni kiwanja ambacho limeshapimwa, maana utakuwa unaptiwa na hati halisi ya Serikali. Pia, vipo karibu kabisa na barabara kuu ya lami. Huyu mdau hapa anauza mashamba, ukishanunua inabidi ulitengenezee mchoro wa matumizi, kisha uanze mchakato wa kupima ili ipate hati ya viwanja/ shamba. Hii michakato yote ina gharama.

Halafu, huko fukayosi kwenye upande a mashamba nimesikia kuna migogoro ya ardhi. Kuna watu wameuziwa maeneo ya
NARCO.
 
Uza heka moja moja mkuu,,,,,tengeneza mchoro wa heka moja moja.barabara na kila kitu,,,
 
Asante kwa kunielewesha.
 
Itakuwa na dhuluma
 
Nyumba Nzuri sana INAUZWA Tabata BARACUDA MILIONI 155 TU

  • Nyumba ina vyumba vitatu vikubwa kimoja master
  • Pia ina Dining na sitting room ya kisasa sana
  • Eneo ni sqm 485
  • Jiko kubwa na zuri + parking kubwa ya magari
  • Nyumba ina hati miliki safi kabisa na haijawahi kukopewa benki
  • Nyumba ipo karibu sana kutoka barabarani ni mwendo wa dakika 1 tu

BEI NI MILIONI 155 TU......WAHI SASA

Mawasiliano 0677 818283















 
Umaskini tu ni shida na usalama.
Unaweza chukua mjengo huo fresh tu wale wasenge wa boxer wakakuwai njiani au getini ukamalizwa uache mil 155 huku nyuma wao wanakuibia mil 2 tu viroboto hao siwapendi kishenzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…