INAUZWA Special Thread: Tunauza Viwanja, Mashamba na Nyumba
sababu unajipa mamlaka usiyokuwa nayo
Unauliza identity yangu au unahoji mamlaka yangu? Mamlaka yangu ni kutoa maoni kama mchangiaji, na maoni yangu ni kukataa hilo...., na sio lazima ukibaliane na maoni yangu, ila utayakubali au kuyakataa kwa hoja, na hiyo ndio maana ya jukwaa. Sasa toa hoja za kukataa maoni yangu au piga kimya, kwamba hiyo bei ni ya kutupa ila bado mwaka mzima haijanunuliwa,hiyo bei ni ya kutupa kweli?! hiyo ndio hoja yangu ya ‘kukukataza’ nikiwa kama ‘mchangiaji’
 
Unauliza identity yangu au unahoji mamlaka yangu? Mamlaka yangu ni kutoa maoni kama mchangiaji, na maoni yangu ni kukataa hilo...., na sio lazima ukibaliane na maoni yangu, ila utayakubali au kuyakataa kwa hoja, na hiyo ndio maana ya jukwaa. Sasa toa hoja za kukataa maoni yangu au piga kimya, kwamba hiyo bei ni ya kutupa na bado mwaka mzima haijanunuliwa, hiyo ndio hoja.
toa maoni kisha pita kule sio kupangia watu cha kuandika..
 
Value 4 money unakuta hiyo bei haiendani na nyumba 150 it's alot tuanze tu kiwanja sqm ngapi, kiko maeneo gani kwa density (medium,high au low), ramani iko up-to-date, finishings etc
Hoja nzuri sana hiyo. Maeneo mengi ya Tabata viwanja ni high density. Yaani kuanzia sqm400(20*20) hadi sqm600(30*20). Utakuta nyumba ikisha simama basi kunakua hakuna eneo kubwa la wazi lililobakia kwa ajili ya shughuli nyingine

Finishing ya nyumba kwenye picha inaonekana iko sawa lakini kuna factors nyingine kama location na neighborhood (kama ni decent au la) n.k ni vitu muhimu kuangalia katika kupanga bei

Kumbuka mnunuzi ataanza kupiga hesabu ya 155m, je akinunua kiwanja kikubwa mahali na anze kujenga nyumba ya ndoto yake against kununua nyumba ipi itakua na advantage kwake na kw namna gani

Kibongobongo naona Real Estate Agents wengi wanfanya biashara ya property hasa real estate kama biashara ya kimachinga. Hawaweki bei kiuhalisia. Wanafanya kama wauza nguo au viatu barabarani. Anakuanzia bei ya kitu elfu 30 mwishoe anakuuzia kwa buku 5

Tena afadhali madalali wa magari maaana angalau magari yana bei zinazojulikana range yake kutegemea na aina, mwaka iliyotengenezwa, rangi, muonekano na uharaka wa muuzaji

Kwa maoni yangu muuzaji angeweka wazi Zaidi vitu ulivyomuuliza
 
Na ndio nimeshatoa maoni, kama unayapinga then pinga kwa hoja. Kama huna hoja unapiga kimya.
uzi wangu siwezi piga kimya....
hoja yanguni kwanini unipangie namna ya kuandika?...
halafu unasema TULISHAKUKATAZA, mlinikataza wewe na nana?
 
Transaction kama hizo ni online tu ,haina haja ya kutembea na mzigo wote huo.
Unaona sasa madhara ya kusoma bila kuelewa? Umesoma alichoandika lakini hujaelewa kabisa, hili ni tatizo kubwa kwa watz walio weng. Amekwambia kuibiwa akiwa ameshanunua nankuhamia kwenye hiyo nyumba, ila wakati anarudi nyumbani kwake ndio anaweza vamiwa akaibiwa 2m huku akiacha nyumba ya 155m
 
Hoja nzuri sana hiyo. Maeneo mengi ya Tabata viwanja ni high density. Yaani kuanzia sqm400(20*20) hadi sqm600(30*20). Utakuta nyumba ikisha simama basi kunakua hakuna eneo kubwa la wazi lililobakia kwa ajili ya shughuli nyingine

Finishing ya nyumba kwenye picha inaonekana iko sawa lakini kuna factors nyingine kama location na neighborhood (kama ni decent au la) n.k ni vitu muhimu kuangalia katika kupanga bei

Kumbuka mnunuzi ataanza kupiga hesabu ya 155m, je akinunua kiwanja kikubwa mahali na anze kujenga nyumba ya ndoto yake against kununua nyumba ipi itakua na advantage kwake na kw namna gani

Kibongobongo naona Real Estate Agents wengi wanfanya biashara ya property hasa real estate kama biashara ya kimachinga. Hawaweki bei kiuhalisia. Wanafanya kama wauza nguo au viatu barabarani. Anakuanzia bei ya kitu elfu 30 mwishoe anakuuzia kwa buku 5

Tena afadhali madalali wa magari maaana angalau magari yana bei zinazojulikana range yake kutegemea na aina, mwaka iliyotengenezwa, rangi, muonekano na uharaka wa muuzaji

Kwa maoni yangu muuzaji angeweka wazi Zaidi vitu ulivyomuuliza
hoja za jamaa hazielezeki kwa maneno... ni hoja za kujibiwa kwa physical survey (yaani eneo kutembelewa) kuliko maelezo
 
uzi wangu siwezi piga kimya....
hoja yanguni kwanini unipangie namna ya kuandika?...
halafu unasema TULISHAKUKATAZA, mlinikataza wewe na nana?
Sijasema upige kimya kwenye uzi wako, bali piga kimya kwenye comment yangu, usiijibu kama huna hoja ya kuipinga. Na nimeshasema sijakukataza, bali nimetoa maoni ya kukataa ulichoandika sababu ni uongo, au ulitaka useme uongo halafu uachwe tu hivi hivi kisa naogopa utasema nimekupangia? No
 
Sijasema upige kimya kwenye uzi wako, bali piga kimya kwenye comment yangu, usiijibu kama huna hoja ya kuipinga. Na nimeshasema sijakukataza, bali nimetoa maoni ya kukataa ulichoandika sababu ni uongo, au ulitaka useme uongo halafu uachwe tu hivi hivi kisa naogopa utasema nimekupangia? No
haya fungua uzi wako wenye ukweli..ili watu wakusikilize ..
bila kuonesha uongo upo wapi huna hoja..kaa kimyaa
 
Hoja nzuri sana hiyo. Maeneo mengi ya Tabata viwanja ni high density. Yaani kuanzia sqm400(20*20) hadi sqm600(30*20). Utakuta nyumba ikisha simama basi kunakua hakuna eneo kubwa la wazi lililobakia kwa ajili ya shughuli nyingine

Finishing ya nyumba kwenye picha inaonekana iko sawa lakini kuna factors nyingine kama location na neighborhood (kama ni decent au la) n.k ni vitu muhimu kuangalia katika kupanga bei

Kumbuka mnunuzi ataanza kupiga hesabu ya 155m, je akinunua kiwanja kikubwa mahali na anze kujenga nyumba ya ndoto yake against kununua nyumba ipi itakua na advantage kwake na kw namna gani

Kibongobongo naona Real Estate Agents wengi wanfanya biashara ya property hasa real estate kama biashara ya kimachinga. Hawaweki bei kiuhalisia. Wanafanya kama wauza nguo au viatu barabarani. Anakuanzia bei ya kitu elfu 30 mwishoe anakuuzia kwa buku 5

Tena afadhali madalali wa magari maaana angalau magari yana bei zinazojulikana range yake kutegemea na aina, mwaka iliyotengenezwa, rangi, muonekano na uharaka wa muuzaji

Kwa maoni yangu muuzaji angeweka wazi Zaidi vitu ulivyomuuliza
Solution ni kufanya valuation tu, wanasahau mteja wakutoa 155Mil sio mTz wa kawaida huyu atatafuta mwanasheria ashughulikie ishu yote ya ununuzi, sasa ndio hapo anakutsna na ushauri wa kitsaluma anaona bora apige chini hiyo dili.

Mkuu ange-attach valuation report kuhalalisha bei yako hii ingemsaidia kuondoa walakini wa bei na utaonekana yupo serious sio kanjanja.
 
Solution ni kufanya valuation tu, wanasahau mteja wakutoa 155Mil sio mTz wa kawaida huyu atatafuta mwanasheria ashughulikie ishu yote ya ununuzi, sasa ndio hapo anakutsna na ushauri wa kitsaluma anaona bora apige chini hiyo dili.

Mkuu attach valuation report kuhalalisha bei yako hii itakusaidia kuondoa walakini wa bei na utaonekana upo serious sio kanjanja.
sio kila document ya kuweka mtandaoni...
seriuos buyer atahitaji mawasiliano tu
 
haya fungua uzi wako wenye ukweli..ili watu wakusikilize ..
bila kuonesha uongo upo wapi huna hoja..kaa kimyaa
Nifungue uzi mwingine wa kujibu uongo ndani uzi huu ni kuwapa moderators kazi ya kuanza kuunganisha uzi, siwezi kuwachosha bila sababu. Uongo ni huo unaosema kwa bei ni ya kutupa wakati ni mwaka sasa tangu uanze kutangaza na haijanunuliwa, hivi kuna mtu asiyependa kukokota? Means hiyo bei sio ya kutupa, tangaza bei ni milioni 10 ili ujue maana halisi ya bei ya kutupa, Dar nzima itahamia hapo kugombania kununua
 
Nifungue uzi mwingine wa kujibu uongo ndani uzi huu ni kuwapa moderators kazi ya kuanza kuunganisha uzi, siwezi kuwachosha bila sababu. Uongo ni huo unaosema kwa bei ni ya kutupa wakati ni mwaka sasa tangu uanze kutangaza na haijanunuliwa, hivi kuna mtu asiyependa kukokota? Means hiyo bei sio ya kutupa, tangaza bei ni milioni 10 ili ujue maana halisi ya bei ya kutupa, Dar nzima itahamia hapo kugombania kununua
kumbe ndo uwezo wako ulipoishia.....hahahahah
sema kama unataka nyumba ya milioni 10 ipo
 
kumbe ndo uwezo wako ulipoishia.....hahahahah
sema kama unataka nyumba ya milioni 10 ipo
Nishakwambia usinijibu bila hoja, onyesha uwezo wako wewe ulipoishia kwa kujibu hoja, na sijasema nataka nyumba ya milioni 10, usilete mipasho, jibu hoja.
 
Back
Top Bottom