INAUZWA Special Thread: Tunauza Viwanja, Mashamba na Nyumba
Hoja nzuri sana hiyo. Maeneo mengi ya Tabata viwanja ni high density. Yaani kuanzia sqm400(20*20) hadi sqm600(30*20). Utakuta nyumba ikisha simama basi kunakua hakuna eneo kubwa la wazi lililobakia kwa ajili ya shughuli nyingine

Finishing ya nyumba kwenye picha inaonekana iko sawa lakini kuna factors nyingine kama location na neighborhood (kama ni decent au la) n.k ni vitu muhimu kuangalia katika kupanga bei

Kumbuka mnunuzi ataanza kupiga hesabu ya 155m, je akinunua kiwanja kikubwa mahali na anze kujenga nyumba ya ndoto yake against kununua nyumba ipi itakua na advantage kwake na kw namna gani

Kibongobongo naona Real Estate Agents wengi wanfanya biashara ya property hasa real estate kama biashara ya kimachinga. Hawaweki bei kiuhalisia. Wanafanya kama wauza nguo au viatu barabarani. Anakuanzia bei ya kitu elfu 30 mwishoe anakuuzia kwa buku 5

Tena afadhali madalali wa magari maaana angalau magari yana bei zinazojulikana range yake kutegemea na aina, mwaka iliyotengenezwa, rangi, muonekano na uharaka wa muuzaji

Kwa maoni yangu muuzaji angeweka wazi Zaidi vitu ulivyomuuliza
Madalali wengi bongo wanafanya kazi kienyeji hakuna valuations za uhakika na sahihi yaani eti kwasababu nyumba ina rangirangi,marumaru au gypsums wao wanalopoka tu bei bila kuangalia factors zingine za kupanga bei pia inachangiwa na tamaa za dalali na mwenye nyumba.
 
Unaona sasa madhara ya kusoma bila kuelewa? Umesoma alichoandika lakini hujaelewa kabisa, hili ni tatizo kubwa kwa watz walio weng. Amekwambia kuibiwa akiwa ameshanunua nankuhamia kwenye hiyo nyumba, ila wakati anarudi nyumbani kwake ndio anaweza vamiwa akaibiwa 2m huku akiacha nyumba ya 155m
Empty Set sana wewe!! Hujui hata unaandika kitu gani...Ulikuwa unataka majambazi waiibe nyumbe waing'oe na kuondoka nayo? Soma kwanza ndio ujibu sio unakurupuka.
 
Empty Set sana wewe!! Hujui hata unaandika kitu gani...Ulikuwa unataka majambazi waiibe nyumbe waing'oe na kuondoka nayo? Soma kwanza ndio ujibu sio unakurupuka.
Sawa, tufanye wanaiba milioni 2 halafu millioni 155 wanaiacha wakati anaenda kulipa, maana watamuonea huruma kuchukua zote, hivyo alipe tu kupitia online.
 
Umaskini tu ni shida na usalama.
Unaweza chukua mjengo huo fresh tu wale wasenge wa boxer wakakuwai njiani au getini ukamalizwa uache mil 155 huku nyuma wao wanakuibia mil 2 tu viroboto hao siwapendi kishenzi.
Muombe Mungu akupe ulinzi
 
Sawa, tufanye wanaiba milioni 2 halafu millioni 155 wanaiacha wakati anaenda kulipa, maana watamuonea huruma kuchukua zote, hivyo alipe tu kupitia online.

Ndio madhara ya kusoma shule za vodafasta na kufundishwa na walimu wa tigo extreme!! Hoja yangu kwanini unafanya transaction by cash? Jibu langu sijazungumzia wizi wa bodaboda au ujambazi ,nimesema transaction kama hizo zinafanywa online.
 
Ndio madhara ya kusoma shule za vodafasta na kufundishwa na walimu wa tigo extreme!! Hoja yangu kwanini unafanya transaction by cash? Jibu langu sijazungumzia wizi wa bodaboda au ujambazi ,nimesema transaction kama hizo zinafanywa online.
Acha ubishi, alichosema ni kuibiwa pesa milioni 2 wakati anarudi kwenye nyumba yake aliyoinunua kwa million 155, hiyo milioni 2 sio kwamba anaenda kununua chochote, elewa hilo kwanza
 
Acha ubishi, alichosema ni kuibiwa pesa milioni 2 wakati anarudi kwenye nyumba yake aliyoinunua kwa million 155, hiyo milioni 2 sio kwamba anaenda kununua chochote, elewa hilo kwanza

Wakati anaenda kununua alikuwa na milioni 2 au 157?
 
Wakati anaenda kununua alikuwa na milioni 2 au 157?
Hapo keshanunua pengine hata mwaka umepita, sasa siku moja wapo wakati anarudi ndio ana hicho kiasi cha 2m probably kwenye gari, wanam-tight getini wanamuibia 2m na kumtoa uhai huku akiacha mjumba huo wa wa 155m na wao wanaiba hiyo 2m, mbona maelezo yake yalikua very clear
 
Hapo keshanunua pengine hata mwaka umepita, sasa siku moja wapo wakati anarudi ndio ana hicho kiasi cha 2m probably kwenye gari, wanam-tight getini wanamuibia 2m na kumtoa uhai huku akiacha mjumba huo wa wa 155m na wao wanaiba hiyo 2m, mbona maelezo yake yalikua very clear

Kwa wewe jinsi ulivyoelewa ,kila mtu ana uelewa wake!! Maelezo yake hayapo kama wewe ulivyoeleza! Kwani jambazi anaweza akapora nyumba na kuondoka nayo? Kwa maelezo yako ni kwamba majambazi wamekosea kupora milioni 2 na kuacha kupora nyumba ya mil 155, Jambazi yeye ni pesa tu na mali ambayo ni movable.(Hijack)
 
Kwa wewe jinsi ulivyoelewa ,kila mtu ana uelewa wake!! Maelezo yake hayapo kama wewe ulivyoeleza! Kwani jambazi anaweza akapora nyumba na kuondoka nayo? Kwa maelezo yako ni kwamba majambazi wamekosea kupora milioni 2 na kuacha kupora nyumba ya mil 155, Jambazi yeye ni pesa tu na mali ambayo ni movable.(Hijack)
Hawajakosea, ila shida ni wewe kusema malipo yafanyike online kana kwamba hiyo milioni mbili kuna malipo anataka kufanya kwa cash badala ya online., au kana kwamba hiyo nyumba ndio anaenda kuilipia halafu getini ndio akaporwa. See the logic?
 
Uzi umekuwa wa mipasho sasa.kama nyumba umeipenda fuata taratibu husika muongee bei basi.bila kuuziwa bahari ama msikiti.kila mmoja ananunua kutokana na uwezo wake aliokua nao.mwengine mwisho wa uwezo wake kununua nyumba ni M.50 na mwengine kuendelea hatufanani.Muhimu ununue kitu kwa taratibu husika hata kama inauzwa Milioni moja kuna leo na kesho na hapa ni mjini ubabaishaji ni mwingi hakikisha utumie pesa upitie mamlaka zote husika unanunua kuna leo na kesho.Na kama huna uwezo pita tu kimya yatosha siyo wote tuna uwezo sawa.
 
Sawa ushanunua mjengo baada ya mwaka unapigwa tanchi wanakudedisha hapo getini au njiani .si usenge tu,
Huwezi kujitoa kununua hilo bungalow alafu ufe kifala.
Sijawai kusikia kuna tajiri aliyewekwa kati na hawa wasenge na viboxer vyao wakawatawanya.
Wanaishia kusurrender tu wanaibiwa.
Toka ndani ya gari kwa timming na mashine unapiga shambulio la kushtukiza,chapa risasi za kiuno miguu mabega za kutosha.ukiwaweka chini unawasachi kwanza kisha unaita polisi.
Mkuu haya matusi [emoji848][emoji848][emoji848] duh! Unatisha mzee
 
Nyumba nzuri- bei ya 155m inawezekana ndio kikwazo- kwa hali ya sasa- na eneo ilipo 70m -80m - ingekuwa bei nzuri na inawezekana ingeishauzwa.
 
Back
Top Bottom