King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Umaskini tu ni shida na usalama.
Unaweza chukua mjengo huo fresh tu wale wasenge wa boxer wakakuwai njiani au getini ukamalizwa uache mil 155 huku nyuma wao wanakuibia mil 2 tu viroboto hao siwapendi kishenzi.
🤣🤣🤣🤣Labda ina mauzauza si unajua tena utajiri ulivyo na mambo mengi?
Kabisa sio nyanya hizo. Alafu inategemea muuzaji yupo katika hali gani. Kama nfalama anayo atauza kwa bei hiyo ata kama itachukua miaka mitatumkuu biashara ya kuuza nyumba inahitaji uvumilivu hasa nyumba za bei kubwa.. sio biashara ya kuweka leo kesho mteja kaja
50mNyumba Nzuri sana INAUZWA Tabata BARACUDA MILIONI 155 TU
Nyumba ina vyumba vitatu vikubwa kimoja master
Pia ina Dining na sitting room ya kisasa sana
Jiko kubwa na zuri + parking kubwa ya magari
Nyumba ina hati miliki safi kabisa na haijawahi kukopewa benki
Nyumba ipo karibu sana kutoka barabarani ni mwendo wa dakika 1 tu
BEI NI MILIONI 155 TU......WAHI SASA
Mawasiliano 0677 818283
View attachment 1892717
View attachment 1892718
View attachment 1892719
View attachment 1892720
View attachment 1892721
View attachment 1892722
View attachment 1892723
View attachment 1892724
Value 4 money unakuta hiyo bei haiendani na nyumba 150 it's alot tuanze tu kiwanja sqm ngapi, kiko maeneo gani kwa density (medium,high au low), ramani iko up-to-date, finishings etcHii nyumba kila siku inapostiwa ni kwanini haiuziki?
Sasa chief ukiwakumbusha wateja ni huwa unapandisha bei au inashuka, kumbuka hiyo ni asset hai depreciate.mkuu biashara ya kuuza nyumba inahitaji uvumilivu hasa nyumba za bei kubwa.. sio biashara ya kuweka leo kesho mteja kaja
Sawa ushanunua mjengo baada ya mwaka unapigwa tanchi wanakudedisha hapo getini au njiani .si usenge tu,Transaction kama hizo ni online tu ,haina haja ya kutembea na mzigo wote huo.
Fuata hiyo process ujenge yako smart boyValue 4 money unakuta hiyo bei haiendani na nyumba 150 it's alot tuanze tu kiwanja sqm ngapi, kiko maeneo gani kwa density (medium,high au low), ramani iko up-to-date, finishings etc
We unatania 155m. Pensheni ya mtu hiyoHii nyumba kila siku inapostiwa ni kwanini haiuziki?
hata ingekuwa milioni 40 kuna mtu hawezi nunua...We unatania 155m. Pensheni ya mtu hiyo
Hahaha, hiyo ukianza kuijenga inaweza isifike hata 60M, sema wazee wa 10% wapo kazini.We unatania 155m. Pensheni ya mtu hiyo
unikataze wewe kama nani mkuu?...mbona unajipa mamlaka hivyoHii nyumba umeirudisha tena?!, si tulishakukataza kusema inauzwa bei ya kutupa?!
Umenijibu mimi kama nani?unikataze wewe kama nani mkuu?...mbona unajipa mamlaka hivyo
kama MKATAZAJIUmenijibu mimi kama nani?
Sasa kwanini unauliza?kama MKATAZAJI
Tupe maelezo ya ukubwa wa eneo ni square miter ngapi?Nyumba Nzuri sana INAUZWA Tabata BARACUDA MILIONI 155 TU
Nyumba ina vyumba vitatu vikubwa kimoja master
Pia ina Dining na sitting room ya kisasa sana
Jiko kubwa na zuri + parking kubwa ya magari
Nyumba ina hati miliki safi kabisa na haijawahi kukopewa benki
Nyumba ipo karibu sana kutoka barabarani ni mwendo wa dakika 1 tu
BEI NI MILIONI 155 TU......WAHI SASA
Mawasiliano 0677 818283
View attachment 1892717
View attachment 1892718
View attachment 1892719
View attachment 1892720
View attachment 1892721
View attachment 1892722
View attachment 1892723
View attachment 1892724
sababu unajipa mamlaka usiyokuwa nayoSasa kwanini unauliza?
sqm 485Tupe maelezo ya ukubwa wa eneo ni square miter ngapi?