babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
thubutuu nani aache 155 achukue mil 2?hata mi siachi weehyap, ila mdau alidhani kwamba umebeba 157million umeenda kulipia mjengo, halafu getini wakupore 2mil. halafu waache 155mil., ndio akashauri eti manunuzi yafanyike online, 😂😂
Basi tumebishana siku nzima hapa, hadi nikawa nashangaa kwanini uingilii kati? 😂😂😂thubutuu nani aache 155 achukue mil 2?hata mi siachi weeh
Wengine wanasema bei ndogoBei juu
kweliHapo ni pa kuwa makini sana
Shamba lipo Fukayosi Bagamoyo.. lilikuwa la mananasi msimu uliopita na linatoa mananasi mazuri sana.
Lipo fukayosi bagamoyo - km 10 kutoka bagamoyo road, shamba lina heka 15.
Document zote za serikali ya kijiji zipo na halina migogoro yoyote.
Bei ni milioni 18 tu, nauza lote sikati nusu nusu.
Mawasiliano 0677 818283
View attachment 1896919
ipo mkuuuWeka namba sahihi. Hiyo mbona haipo hewani?
namba ipo hewani mkuuWeka namba sahihi. Hiyo mbona haipo hewani?
document zote halali za kuuziwa zipo..nlinunua serikali ya kijijiUlinunua serikali ya kijiji au kwa mwana kijiji?
moto kama moto mwiginedocument zote halali za kuuziwa zipo..nlinunua serikali ya kijiji
Serikali ya kijiji huko kwenu inamiliki mashamba? Je pesa alipokea mwenye kiti wa kijiji au?document zote halali za kuuziwa zipo..nlinunua serikali ya kijiji
Bagamoyo ni mahali ambapo mtu kabla hajanunua ardhi anapaswa kujiridhisha na kujiridhisha na kujiridhisha mnooo.Watu wameumizwa sanaSerikali ya kijiji huko kwenu inamiliki mashamba? Je pesa alipokea mwenye kiti wa kijiji au?
Ha Ha Ha kwanini mkuuKuna mtu atalizwa sasa hivi