Dive
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 895
- 1,489
Ndiyo nimewahi sijiandikii tu.ushawahi kujenga ndugu..maana wajipangia tu bei nyumba za watuuu
Sent from my N20 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo nimewahi sijiandikii tu.ushawahi kujenga ndugu..maana wajipangia tu bei nyumba za watuuu
Sa utapata faida gani?
Endelea hivyo hivyo.... Hata bei ya kiwanj hujui...Uchafu huu sio wa 120M...imeenda saaaan ni 47M
Hahaha unataka kusema kila asiye na kazi anakula kwa shikamoo?Miaka nane huna kazi, unakula kwa shikamoo! Tafuta kazi, ukipata utajua napata faida gani...!
Duh, kweli bei ya kutupaBei ni milioni 900 TU
ndugu eneo lina umiliki na hati miliki ipo...plot imeambatana tu na ufukwe..Mnh! mkuu haya sio maeneo ya wazi au unataka kupiga mtu!
Haujamuelewa,kutoka tegeta 16 kmIna maana city center hadi Tegeta ni KM 16?
Soma vizuri habari yake na yangu utaelewaHaujamuelewa,kutoka tegeta 16 km
sawa mkuu kila la herindugu eneo lina umiliki na hati miliki ipo...plot imeambatana tu na ufukwe..
huuziwi bahari.. zinaitwa beach plot