winlicious
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,006
- 1,151
HahahaaaaBonge la nyumba,au ina majini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaaaaBonge la nyumba,au ina majini
Inaonekana iko sehemu inayotunza maji sana kama sikosei.Nyumba kali sana ipo kimara temboni
Km 1.5 kutoka morogoro road
Nyumba ina vyumba vitatu kimoja master
Nyumba ina servant quarter (kijumba kidogo kingine) ina chumba , sebule na choo chake
Nyumba ina sebule,jiko, choo cha public cha ndani na choo kingine cha nje
Nyumba ina electric fence, fremu ya biashara , parking
BEI NI MILIONI 60 TU (WAHI SASA)
MAWASILIANO 0677 818283
View attachment 1745192View attachment 1745193View attachment 1745194View attachment 1745195View attachment 1745196View attachment 1745197View attachment 1745198View attachment 1745187View attachment 1745188View attachment 1745189
huna uhakika na unachoongea.. acha kudhania maeneo mkuuInaonekana iko sehemu inayotunza maji sana kama sikosei.
imeandikwa nyumba ndio inayouzwaPamoja na vitu vya ndani
Inauzwa nyumba tuPamoja na vitu vya ndani
Nyumba haina nyufa... Ipo vizuri..Piga picha kuizunguka nyumba boss tuone
Kama haina nyufa
karibuAhsante kwa taarifa...
mawazo yako tu potofu.... kila siku nyumba zinauzwa na zinanunuliwaUsicheze na nyumba zingine,,,,
Nasema usicheze na nyumba zingine,,
Ukitaka kuwa salama nunua kiwanja ujenge nyumba yako.
Nyumba zingine zimefukiwa VICHWA vya Kondoo,,,,
Usidhani kulala kwenye hiyo nyumba itakuwa vyepesi vyepesi.
Msije kusema sijawaambia
Ungefungua Uzi wako kulizungumzia hilo zama hizi tungeliita USTAARAB.Usicheze na nyumba zingine,,,,
Nasema usicheze na nyumba zingine,,
Ukitaka kuwa salama nunua kiwanja ujenge nyumba yako.
Nyumba zingine zimefukiwa VICHWA vya Kondoo,,,,
Usidhani kulala kwenye hiyo nyumba itakuwa vyepesi vyepesi.
Msije kusema sijawaambia
Ahsante kwa ofaNitunuku miye nikupe 30