Kwa dola hizo ni kama bilioni 140 kwa gari moja,aisee mbona ni ghali sana zinakuwa na vitu gani vya ziada humo?Hizi ni 14, M113 za Australia zinabeba Wanajeshi 20, Wengine wanaziita "Bushmaster". Mzigo unapelekwa Donbas. Gari moja ina garama ya Dila Milioni 60.9
View attachment 2231089
Nafasi bado ipo pale Milembe Hospitali, wahi mkuu.Kwa hii hatua ya Marrkani kuipa Ukraine meli za kivita aina ya Boeing Harpoon na Naval Strike missiles, ni Ishara ya Urusi kuanza kupigwa kutokea Baharini.
View attachment 2231371View attachment 2231372View attachment 2231373
Mrusi kutokea mitaa ya Buza kwalulenge, mbona unajipa tabu na maumivu yasiyo kuhusu? Unafurahi mwenzio kuvamiwa ndani ya nchi yake? UpuuziNafasi bado ipo pale Milembe Hospitali, wahi mkuu.
Mkuu Kwa hiyo Putin anamalizia muda wake kabla hayajamkuta ya kupnduliwa na jeshi lake.Angekua na busara Bora ajiuzulu kabla hajazalikika
Hii mbona kali. Kama siyo propaganda jamaa ana hali ngumu sana.
Vipi ndg mbona umeguna?Mhuuu
Fuatilia habari za pande zote.Eh huu uzi mbona kama unaonesha ukrain wanashinda lakini ukifatilia vyombo vya habari vingine,Indonesia russia anamtandika ukrain mpaka anasalimu amri
Ova
Watanzania wengi ni wabishi sana mkuu Tena wanabisha bila facts .Hivi Urusi anawezaje kushinda vita dhidi ya NATO na USA? Nchi hizi ndizo zenye mifumo yote ya kuendesha uchumi wa Dunia Sasa una weza washinda kwa lipi?Hawa watu ndo matajiri wa Dunia na vita mala nyingi hushinda yule mwenye uchumi mkubwa Sasa kati ya USA na NATO dhidi ya Urusi nani ana uchumi mkubwa?Fuatilia habari za pande zote.
Nikuulize swali, mfano Tanzania imechukuliwa mikoa 20,mikoa 10 bado ipo kwa Watanzania.
Watanzania wakaikomboa mikoa 17 ikabaki 3,
Je,nani hapa atakuwa anaonekana mshindi?
Ok,muda utaongeaWatanzania wengi ni wabishi sana mkuu Tena wanabisha bila facts .Hivi Urusi anawezaje kushinda vita dhidi ya NATO na USA? Nchi hizi ndizo zenye mifumo yote ya kuendesha uchumi wa Dunia Sasa una weza washinda kwa lipi?Hawa watu ndo matajiri wa Dunia na vita mala nyingi hushinda yule mwenye uchumi mkubwa Sasa kati ya USA na NATO dhidi ya Urusi nani ana uchumi mkubwa?
Ukweli ni kwamba Ukurein akisaidiwa na USA na NATO pia ndo washindi wa hii vita pia huu ndiyo utakua mwisho wa Putin Ikama Rais wa Urus,anaebisha atulie muda utampa majibu.
Eh huu uzi mbona kama unaonesha ukrain wanashinda lakini ukifatilia vyombo vya habari vingine,Indonesia russia anamtandika ukrain mpaka anasalimu amri
Ova
Hata mimi sijajua. Wenyewe wanasema usiangalie bei bali gharama.Kwa dola hizo ni kama bilioni 140 kwa gari moja,aisee mbona ni ghali sana zinakuwa na vitu gani vya ziada humo?
Vita ina mambo mengi.Hii mbona kali. Kama siyo propaganda jamaa ana hali ngumu sana.