figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #2,261
Kwa hiyo wanataka atoe vikosi vyake Ukurein vipi Kweli Putin alivokibuli atafanya hivo kweli?Je kifuatacho nini ngoja muda utupe majibu
Oh fine. Yn kile kichwa kilichoivaa kofia hiyo hakipo tena 😂 -RIPHii ni supply truck ya Urusi. Mwanajeshi akionesha kofia ya Adui nadhani unaelewa anachomanisha. Huyu ni Askari wa Ukraine. Tarehe 21 Machi 2022.
View attachment 2160184
Kuna hii nimepost, Nimebahatika kupata Video yake ya Wanajeshi wa Urusi wanaorutubisha Udongo wa Ukriane.Kifaru cha Urusi aina ya BMD na wanajwshi 14,safari yao iliishi Lviv. Wanarutubisha udongo wa Ukraine
View attachment 2235540