Hii siraha ni atari mkuuMwenzenu nina mahaba na hii Silaha ya Ukraine aina ya Stugna-P. Hivi Tanzania tunayo? Inalipua kifaru kama karatasi
View attachment 2236772
Hapo jamaa anatumia njia mbadala ya kupunguza idadi ya midomo (raia wa kigeni) ili chakula kilichopo kiweze kutosheleza. Nilisoma huko nyuma kwamba lile ghala la kuhifadhia nafaka/chakula ambacho Warusi waliiba/walipora kutoka Ukraine, LEGION walishalitembelea. Kwa mantiki hiyo wale watu ambao sio kipaumbele(priority #1) kwa Urusi wanapelekwa uwanja wa mapambano ili wakauawe na ionekane walifia vitani.😡Siyo hivyo tu na raia wa kigeni ambao wako Urusi wanatakiwa kwenda jeshini ili wakapigane. Sasa hapa sijui watalazimishwa au itakuwa kwa hiari?
Ina mana jeshi lake limepungukiwa na wapiganaji au vipi, wastaafu wanaweza kuwa ni experienced personnels, je hawa raia wa kigeni,kama wakilazimishwa watakuwa na uzalendo kweli kupigana vita isiyowahusu?
Bado ninawaza hapa [emoji848][emoji848]
Mkuu; Kwani wewe hujui kwamba wamechoka mwili na roho kupita maelezo? kifo kinawanyemelea. 😭 😭Hawa askar vipi mbona wanaonekana mdebwedo
Mkuu; Kwani wewe hujui kwamba wamechoka mwili na roho kupita maelezo? kifo kinawanyemelea. 😭 😭
Hawa jamaa wanaenda vitani huku wakiwa wameishakufa tayari ndo maana wengi wao ni walevi ili kupunguza machungu wakati wa kifo chenyeweMkuu; Kwani wewe hujui kwamba wamechoka mwili na roho kupita maelezo? kifo kinawanyemelea. 😭 😭
Very sad kwa kweli. Kama kuiba ameiba kweli.Jamaa umri umesogea ila kwasababu ni mtu wa mazoezi haonyeshi sana, huyo Rais wa Ukraine ni sawa na mtoto wake, kwahiyo ana hasira naye kweli kweli, anaona kama vile dogo amemdharau.Hapo jamaa anatumia njia mbadala ya kupunguza idadi ya midomo (raia wa kigeni) ili chakula kilichopo kiweze kutosheleza. Nilisoma huko nyuma kwamba lile ghala la kuhifadhia nafaka/chakula ambacho Warusi waliiba/walipora kutoka Ukraine, LEGION walishalitembelea. Kwa mantiki hiyo wale watu ambao sio kipaumbele(priority #1) kwa Urusi wanapelekwa uwanja wa mapambano ili wakauawe na ionekane walifia vitani.😡
Inasikitisha sana. Hivi Putin ana umri gani? ..... isije ikawa uzee unachangia