Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Siyo hivyo tu na raia wa kigeni ambao wako Urusi wanatakiwa kwenda jeshini ili wakapigane. Sasa hapa sijui watalazimishwa au itakuwa kwa hiari?

Ina mana jeshi lake limepungukiwa na wapiganaji au vipi, wastaafu wanaweza kuwa ni experienced personnels, je hawa raia wa kigeni,kama wakilazimishwa watakuwa na uzalendo kweli kupigana vita isiyowahusu?

Bado ninawaza hapa [emoji848][emoji848]
Hapo jamaa anatumia njia mbadala ya kupunguza idadi ya midomo (raia wa kigeni) ili chakula kilichopo kiweze kutosheleza. Nilisoma huko nyuma kwamba lile ghala la kuhifadhia nafaka/chakula ambacho Warusi waliiba/walipora kutoka Ukraine, LEGION walishalitembelea. Kwa mantiki hiyo wale watu ambao sio kipaumbele(priority #1) kwa Urusi wanapelekwa uwanja wa mapambano ili wakauawe na ionekane walifia vitani.😡
Inasikitisha sana. Hivi Putin ana umri gani? ..... isije ikawa uzee unachangia
 
Hawa jamaa wan
Mkuu; Kwani wewe hujui kwamba wamechoka mwili na roho kupita maelezo? kifo kinawanyemelea. 😭 😭

Mkuu; Kwani wewe hujui kwamba wamechoka mwili na roho kupita maelezo? kifo kinawanyemelea. 😭 😭
Hawa jamaa wanaenda vitani huku wakiwa wameishakufa tayari ndo maana wengi wao ni walevi ili kupunguza machungu wakati wa kifo chenyewe
 
Hapo jamaa anatumia njia mbadala ya kupunguza idadi ya midomo (raia wa kigeni) ili chakula kilichopo kiweze kutosheleza. Nilisoma huko nyuma kwamba lile ghala la kuhifadhia nafaka/chakula ambacho Warusi waliiba/walipora kutoka Ukraine, LEGION walishalitembelea. Kwa mantiki hiyo wale watu ambao sio kipaumbele(priority #1) kwa Urusi wanapelekwa uwanja wa mapambano ili wakauawe na ionekane walifia vitani.😡
Inasikitisha sana. Hivi Putin ana umri gani? ..... isije ikawa uzee unachangia
Very sad kwa kweli. Kama kuiba ameiba kweli.Jamaa umri umesogea ila kwasababu ni mtu wa mazoezi haonyeshi sana, huyo Rais wa Ukraine ni sawa na mtoto wake, kwahiyo ana hasira naye kweli kweli, anaona kama vile dogo amemdharau.
 
Kikosi cha Urusi cha 107th Infantry Regiment ambacho kipo Donetsk, kimegoma kwenda kupigana Luhansk.

Hii ni faida kwetu, wajiunge na LEGION Wamtandike Putin.

NB: Wenyewe eti hii Mikoa wanaiita Donetsk People's Republic (DPR) na Luhansk People's Republic (LPR). Hii ni Mikoa ya Ukraine ambayo Urusi wanadai imejitenga kutoka Ukraine. Ndicho chanzo cha Vita eti wamekuja kuwasaidia kutoka kwenye Makucha ya Ukraine sababu ni mataifa huru.
 
IMG_20220525_032058_639.jpg
IMG_20220525_032042_170.jpg
 
Urusi tumewapelekea moto wameanza kugawanyika wenyewe. Wameshaanza ingiwa na roho ya Usaliti eti hawaoni sababu na kupigana na Ukraine.

Hii Silaha ya Ufaransa inaitwa Caesar self-propelled. Ni mzigo mpya umeletwa
20220525_034840.jpg
20220525_034838.jpg
20220525_034836.jpg
20220525_034833.jpg
 
Hii ndo Bendera ya LEGION. Hapo wanaenda kazini.
 
Back
Top Bottom