figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #2,581
URUSI: Kiwanda na Maghala ya Plastic na rubber, yanawaka Moto Mjini Naberezhnye Chelny, Russia. LEGION
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ikikukosa ni bahati yako. 😂
Ni majanga tupu. Ee Mola wetu, na Muumba wetu tunakusihi utuepushe na kitu kinaitwa vita.
Mpaka vita iishe aisee; Putin na wanao fanana naye Watajifunza mengi. Sikio la kufa halisikii dawa.URUSI: Kiwanda na Maghala ya Plastic na rubber, yanawaka Moto Mjini Naberezhnye Chelny, Russia. LEGION
View attachment 2248802
Ata mbwa wake ameenda cjui ni kumpongeza au kumshangaa!Na waoga kama sisi tupoooooooView attachment 2248665
Ukiona hii barabarani jua ni Legion. "Kikundi cha uasi cha Urusi"Ukiona hii barabarani jua ni Legion. Kikundi cha uasi cha Urusi
View attachment 2248626
Shoga vipi? Mbona uko mwenyewe kwenye huu uzi!! Yaan hata mashogiree wenzako hawakupi support!! Ebu nenda kwenye ule uzi mwingine uone wenzako wanavyochakazwaaaaHuyu Mjeda ndo alipewa Mikoba ya kusimamia na Kuongoza Vita Ukraine. Sasa wiki ya pili haonekani.
Je, General Aleksandr Dvornikov atakuwa kakukufa?? Au Putin kamuua baada ya kushindwa kupenya ngome ya Ukraine kule Kyiv na kupelekea Wanajeshi wengi wa Urusi zaidi ya 13000 kufa Ukraine ndani ya Wiki 3 za kwanza?
View attachment 2248911View attachment 2248912View attachment 2248913View attachment 2248914View attachment 2248915
Hatubishani na mashoga humu aisee kaendelee na mashoga wenzio kwani kinakuwasha nn..?...Shoga vipi? Mbona uko mwenyewe kwenye huu uzi!! Yaan hata mashogiree wenzako hawakupi support!! Ebu nenda kwenye ule uzi mwingine uone wenzako wanavyochakazwaaaa
Ukiona mtu anapenda kutajataja ushoga ujue lishoga linatafuta mwenza. Tuachie thread yetu kaendelee kule na mapunga menzako ya kirabu na kirusi.Shoga vipi? Mbona uko mwenyewe kwenye huu uzi!! Yaan hata mashogiree wenzako hawakupi support!! Ebu nenda kwenye ule uzi mwingine uone wenzako wanavyochakazwaaaa
Jailos mrisho, Jailos mrisho, Jailos mrishooo.....!!? Mbona unachafua hali ya hewa aisee? Kwani kakulazimisha uusome uzi wake halafu zaidi unatukana? Si upite hv tu kwa amani au potezea na umwachie li-uzi lake? 😳 😳Shoga vipi? Mbona uko mwenyewe kwenye huu uzi!! Yaan hata mashogiree wenzako hawakupi support!! Ebu nenda kwenye ule uzi mwingine uone wenzako wanavyochakazwaaaa
yaani kuna watu wanawashwa hatari.....sijui huku kafwata nn...yeye aende kwenye mipasho yake hukoJailos mrisho, Jailos mrisho, Jailos mrishooo.....!!? Mbona unachafua hali ya hewa aisee? Kwani kakulazimisha uusome uzi wake halafu zaidi unatukana? Si upite hv tu kwa amani au potezea na umwachie li-uzi lake? 😳 😳
Mkuu unawashwa umu amna mashoga wenzakoShoga vipi? Mbona uko mwenyewe kwenye huu uzi!! Yaan hata mashogiree wenzako hawakupi support!! Ebu nenda kwenye ule uzi mwingine uone wenzako wanavyochakazwaaaa
Mkuu, mbona angeweza walau atumie lugha nzuri ingetosha kufikisha ujumbe na msimamo wake badala ya kutumia lugha ya matusi kwa mwenye uzi ? Namshangaa anatoa hadharani yale yaliyoujaza moyo wake.yaani kuna watu wanawashwa hatari.....sijui huku kafwata nn...yeye aende kwenye mipasho yake huko