Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Angalia Sniper wa Ukraine alivyo mtungua Mrusi. Warusi wana hali mbaya sana.
Your browser is not able to display this video.
 
Kuna Wanajeshi wa kukodia wa Urusi jana wamekufa kwenye kambi yao. Inadaiwa wanajeshi wa Urusi kati ya 250 hadi 300 wamekufa. Bado natafuta Video. Japo Video ya kambi kulipuliwa ipo. Hapa ni Stakhanov. Wamekufa binadamu wengi wa Urusi, wengine wamesambaratika kabisa.
Your browser is not able to display this video.
 
Waoneeni huruma wa ukraine, according to raisi wao yule comedian ni kuwa kwenye uwanja wa vita kila siku wanapoteza wanajeshi 200!
 
Wamekufa kama mia 200 ivi

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Urusi wapumbavu. Wanachoma moto hadi mazao. Aibu.. Wakizidiwa wanaharibu mazao, wanabomoa majengo, wanamwaga vyakula maxiwa na vingine wanaiba. Aibu yao
Your browser is not able to display this video.
 
Yaani wiki hii Roho yangu nyeupe kabisa. Kwa kipigo cha jana ambapo Tumeua Warusi na Washirika wao 300+. Na leo tumeendeleza ubabe. Tumejua kuwanyoshwa Warusi.🤣🤣🤣
 
Napost picha za Waeusi wakiwa Wamepumzika ili kuwakera pro Urusi. Ili tunaposema Urusi wanakufa, wawe wanaelewa. Hizi picha ni za kuwaumiza Warusi. Wamekuwa wakinitukana.. Niliacha kabisa kupost picha za wafu wa Kirusi, ila sababu wanakuwa wanatukana, nimeamua nimalize wiki kwa kupost picha za kuwauma kama majibu kwa matusi yao.
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…