Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Jamaa waoga balaa, Walipoona kifaru kimoja kimebondwa, badala ya kusaidia, wao wakageuza na kukimbia
Your browser is not able to display this video.
 
🀣🀣🀣🀣
Your browser is not able to display this video.
 
Hebu wahakikishe hayo mabomu yanatua Russia eti...maana baada ya vita mozoga ya warusi itakuwa inanuka ndani ya nchi hiyo
Hahahaha. Mkuu; Wananchi wavumilie kidogo kwani mizoga Itanuka kwa muda tuu lakini baadaye itakuwa ni mbolea nzuri kwenye ardhi ya nchi hiyo na harufu mbaya haitakuwepo tenaπŸ˜€.Kazi iendelee.
 
Hahahaha. Mkuu; Wananchi wavumilie kidogo kwani mizoga Itanuka kwa muda tuu lakini baadaye itakuwa ni mbolea nzuri kwenye ardhi ya nchi hiyo na harufu mbaya haitakuwepo tenaπŸ˜€.Kazi iendelee.
Na nadhani baada ya vita hii alizeti itavunwa mno...maana siyo kwa mafuta hayo...πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Sasa hizi zinapigana kwenye mazingira gani na range yake ipoje Mana ni kama maajabu
Mkuu sijaweza kujua range yake. Ila hii ina uwezo wa kufanya kazi kwenye Jangwa(Mchangani), kwenye Theruji, Kwenye Maji. Pia ina uwezo wa kupanda Magorofa marefu kwa kutumia ngazi kwa haraka. Inapunguza Vifo, kama kuna sehemu mnahisi kuna adui, mnaituma roboti inaleta taarofa. Ina Camera nne zote zinazunguka 360Β°. Inaweza tuma Signals kwa umbali wa Mita 1000. Pia inafanya kazi mchana na Usiku sababu usiku inaona kama nyau tu. Kimbuka majini ni kama samaki. Inavuka mto
 
Ukisikia Frontline ndo ipo hivi
Your browser is not able to display this video.
 
Huyu ndo Msemaji wa Wanajeshi wanaojitolea Ukraine. Anaitwa Damien Magrou, amesema kuna watu kutoka mataifa 55 wamekuja kusaidia Ukriane. Watu wanaojitolea Ukraine wamepewa Kikosi chao, kinaitwa International Legion. Kina Makomando wengi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…