Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Tumeteka Warusi wengine. Wamekuwa wadogo kama piriton. Urusi wanatakiwa wajue Ukraine sio nchi yao. Tutawamaliza. Ukiwakuta mtandaoni wafuasi wao wqnavyo ongea, huwezi amini kama wanakamatwa kama kuku wa kisasa😂😂
Your browser is not able to display this video.
 
Hii HIMARS ni noumer. Ina chanachana hadi miti. Sipati picha ikikutana na Mrusi🤣🤣🤣
Your browser is not able to display this video.
 
Nadhani Urusi kuna Sehemu wamejichanganya kwenye Maswala ya logistics, sababu wanapoteza sana. Au Wanajeshi wanamhujumu Putin? Mara ya kwanza walikuwa wakipambana wakitokea Ukraine yaani Ofisi na Vifaa Base zao Zilikuwa Ukraine ila sasa hivi Control Room zao zipo Urusi. Hamna jinsi itabidi tuzilipue huko huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…