Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

FVpDHbdX0AMk2nq.jpg
 
Tumeteka Warusi wengine. Wamekuwa wadogo kama piriton. Urusi wanatakiwa wajue Ukraine sio nchi yao. Tutawamaliza. Ukiwakuta mtandaoni wafuasi wao wqnavyo ongea, huwezi amini kama wanakamatwa kama kuku wa kisasa😂😂
 
Hii HIMARS ni noumer. Ina chanachana hadi miti. Sipati picha ikikutana na Mrusi🤣🤣🤣
 
Nadhani Urusi kuna Sehemu wamejichanganya kwenye Maswala ya logistics, sababu wanapoteza sana. Au Wanajeshi wanamhujumu Putin? Mara ya kwanza walikuwa wakipambana wakitokea Ukraine yaani Ofisi na Vifaa Base zao Zilikuwa Ukraine ila sasa hivi Control Room zao zipo Urusi. Hamna jinsi itabidi tuzilipue huko huko.
_125542761_donbas_control_then_now_19_06_2x640-nc.png.jpeg
_125542764_ukraine_invasion_south_map-nc.png.jpeg
 
Back
Top Bottom