figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #3,161
Severodonetsk tumezidiwa. Majeshi ya Ukraine Wameretreat. Sababu kwenye ule mji Frontline wa Urusi washakamata 80% ya Mji, Ukiendelea kukomaa kinachofuata ni vifo.Nasikia wameamuliwa kutoka wote ndani ya huo miji wa Severodonetsk je ni mbunu ya kijeshi au vipi lakini akili yangu inaniambia labda ni mbinu ya kijeshi labda wanataka kutumia silaha nzito kuhalibu jeshi la Urusi.
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu asante sanaSeverodonetsk tumezidiwa. Majeshi ya Ukraine Wameretreat. Sababu kwenye ule mji Frontline wa Urusi washakamata 80% ya Mji, Ukiendelea kukomaa kinachofuata ni vifo.
Kwanini wasimalizwe wote hapo hapo....aaaaahh tuna-fail hapo aiseeWarusi wamepata tabu sana🤣🤣🤣
View attachment 2269826
Wanataka kudukua technology eti??Mnaikumbuka hii? Kontena lishapelekwa Marekani. Krasukha-4 electronic warfare system command module
View attachment 2270396
Kuna uwezekano huoNasikia wameamuliwa kutoka wote ndani ya huo miji wa Severodonetsk je ni mbunu ya kijeshi au vipi lakini akili yangu inaniambia labda ni mbinu ya kijeshi labda wanataka kutumia silaha nzito kuhalibu jeshi la Urusi.
Hapana Mkuu, tunajitahidi kupata mateka wengi wa kubadilishana na wenzetu walotekwa Urusi. Hawa wote walikamatwa wengine walikufaKwanini wasimalizwe wote hapo hapo....aaaaahh tuna-fail hapo aisee
Ndio..Wanataka kudukua technology eti??
Vitani kuretreat ni jambo la kawaida. Wanarudi nyuma kujipanga ili wavamie upya. Sehemu tumezirudisha baada ya kuretreat. Ila Wakuu, hizi HIMARS, zimekuja kubadilisha game kwenye hii Vita. Hadi Jana Urusi wameshambuliana wenyewe kwa wenyewe. Na wameuana. Wamepambana masaa sita wenyewe kwa wenyewe.Kuna uwezekano huo
Safi sanaAzov wamefanya yao[emoji1787][emoji1787]
View attachment 2270729
Mambo ni motooooooWakuu, Hatimaye Majeshi ya Ukraine yameweza kuingia Mji wa Kherson baada ya miezi Karibia minne. Hongera sana Ukraine. Mbarikiwe.. Nimefurahi sanaa...!!
View attachment 2270735
Mapigano ya hapa yatakuwa deadly, Urusi hatapaachia kirahisiKama tukitia mkononi Snake Island, Meli zitaanza kusafiri kutoka Bandari ya Odessa. Hiki kisiwa ndo kilikuwa nguzo kwa Urusi kuzuia meli kuingia na Kutoka Ukraine. Hope ngano itapungua bei.
View attachment 2270470