figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #281
Mkuu tupe zote tafadhaliWanajeshi wenu wa Urusi wanavyochinjwa? Au nikuoneshe wanavyopigiliwa Msumari kichwani? Chagua.
Uongo mko vizuri yaani nyie watu uongo uko kwenye damuInadaiwa Urusi inatumia hadi watoto vitani.
Hawa madogo walitekwa na Majeshi tiifu ya Ukraine.
View attachment 2158135View attachment 2158136
Kwa sasa Irpin na Bucha zinaenda kuwa liberatedView attachment 2160988
Nawatafutia Video. Nasikia Warusi wamekimbia pekupeku leo walopofurumishwa[emoji23][emoji23]