figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #3,181
Kila kitu mipango. Atapaachia tu. Leo ⅓ ya vifaa tumeviharibu. Tusubiri Usiku wa leo Zelensky atafanya nini. Mpango ni kuirudisha kisiwaMapigano ya hapa yatakuwa deadly, Urusi hatapaachia kirahisi
Vimeharibikwa na kutekwa. Ndo maana kila siku treni inaleta Vifaru. Vingine tunajiokoteaUrusi anasomba mavifaru kila siku yaonesha vingi vimeharibiwa
Safi napenda hivyo....maana miji wanazidi kuchukua huruma ya nini ua....aaaaah.!!!Azov wakikukamata ndo mwisho. Hapa Mrusi anafukiwa akiwa hai. Azov tangu wenzao watekwe, hawana Huruma. Ukijisalimisha ndo umekufa
View attachment 2270728
Huyu kawaje ?Azov wamefanya yao[emoji1787][emoji1787]
View attachment 2270729
Watu makiniMaisha ya Azov wetu[emoji123]
View attachment 2271010