Shukrn mkuuSamahani sana Mkuu mimi jana nliona inaongelewa na Urusi kwamba Wamelipua HIMARS 2, nilikosa Ushahidi wa kudhibitisha. So naona kama propaganda hadi nitakapopata picha ya HIMARS iloharibiwa. Lakini hadi muda huu sijapata picha zaidi ya Maneno. Mimi mtu wa picha ndo naamini..
Hadi sasa hakuna HIMARS Ilolipuliwa. Na leo saa moja usiku zimefanta kazi
View attachment 2282869
[emoji38][emoji38][emoji38]Mkuu sasa kama nyie hamjuani si mtapigana risasi[emoji28][emoji28][emoji28]
Zilizo battle field ni 3 pekee sasa yeye kalipua ipi wakati zote 3 zinafanya kaziWakuu hii imekaaje.? japo siamini sana ila kama ni kweli bac Ukraine watakuwa ni Wazembe sana. aya madude si yanauwezo wa kukaa mpakani mwa Poland na yakarusha makombora popote na yakaenda kupaki Poland ili adui asiyapate au nakosea wakuu?View attachment 2282649
Pia wanasema hizi kutokana na mobility yake ni ngumu sana kuzilipua...Wakuu hii imekaaje.? japo siamini sana ila kama ni kweli bac Ukraine watakuwa ni Wazembe sana. aya madude si yanauwezo wa kukaa mpakani mwa Poland na yakarusha makombora popote na yakaenda kupaki Poland ili adui asiyapate au nakosea wakuu?View attachment 2282649
Jana ndo ya 3 imeingia kazini, moja bado haijaingia kazini.HIMARS zinawatesa Warusi, nne tu kama zipo elfu moja[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2282870
Kwakuwa zunafanya kazi vizuri, Mmarekani anaongeza nyingine.Jana ndo ya 3 imeingia kazini, moja bado haijaingia kazini.
Hivyo operational kwa sasa ni 3
Ni kweliNdege ya Urusi tumeiangusha
View attachment 2268246
Wewe ulitaka Urusi waje waiteke Ukraine na Zelensky asipambane kulinda nchi sababu akilinda nchi anaonekana mbabe? Tuondolee ujinga. Mtu aje kwako abomomoe nyumba yako umuache ili usionekane mgomvi?Askari unakufa kwa ubishi,ujuaji na ubabe wa viongozi wawili wakubwa ambao wao sio waathirika, familia zao zipo salama. Yako nani ataipa faraja nani ataitunza. Hapo wanapigania nchi au wanapigania ubabe waviongozi, ambao at the watapatana. We ndo umepata hasara na familia yako.