Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Samahani sana Mkuu mimi jana nliona inaongelewa na Urusi kwamba Wamelipua HIMARS 2, nilikosa Ushahidi wa kudhibitisha. So naona kama propaganda hadi nitakapopata picha ya HIMARS iloharibiwa. Lakini hadi muda huu sijapata picha zaidi ya Maneno. Mimi mtu wa picha ndo naamini..

Hadi sasa hakuna HIMARS Ilolipuliwa. Na leo saa moja usiku zimefanta kazi
View attachment 2282869
Shukrn mkuu
 
20220707_021034.jpg
 
Wakuu hii imekaaje.? japo siamini sana ila kama ni kweli bac Ukraine watakuwa ni Wazembe sana. aya madude si yanauwezo wa kukaa mpakani mwa Poland na yakarusha makombora popote na yakaenda kupaki Poland ili adui asiyapate au nakosea wakuu?View attachment 2282649
Zilizo battle field ni 3 pekee sasa yeye kalipua ipi wakati zote 3 zinafanya kazi
 
Wakuu hii imekaaje.? japo siamini sana ila kama ni kweli bac Ukraine watakuwa ni Wazembe sana. aya madude si yanauwezo wa kukaa mpakani mwa Poland na yakarusha makombora popote na yakaenda kupaki Poland ili adui asiyapate au nakosea wakuu?View attachment 2282649
Pia wanasema hizi kutokana na mobility yake ni ngumu sana kuzilipua...
 
Sauti imevuja. Warusi wanadai hata mati zikirudishwa haziokelewi kwa Heshima, askari ukirudi nyuma kuretreat unapigwa risasi. Wanasema hakuna uwezekano wa Urusi kushinda hii vita
 
Azov wakimkamata Mrusi
 
Kwenye Vita mtu unajifunza mengi. Kumbe haya majani yanaweza tumika kama mtego kwa adui. Yakikunasa ukayavuta ni kama unavuta fuse ya bomu. Hivyo unapotembea kuwa makini jani lisikuguse sababu linashika kwenye nguo kama ndoano. Hii TIP itawasaidia wanajeshi wetu wanaoenda kupambana Congo.

Vilevile unaweza kumtega adui kwa haya majani

Haya ndo madhara ya kufuata nyayo za adui, anaacha mitego njiani
 
Askari unakufa kwa ubishi,ujuaji na ubabe wa viongozi wawili wakubwa ambao wao sio waathirika, familia zao zipo salama. Yako nani ataipa faraja nani ataitunza. Hapo wanapigania nchi au wanapigania ubabe waviongozi, ambao at the watapatana. We ndo umepata hasara na familia yako.
 
Yaani Urusi ni kama Watoto, hapa walikuwa wanarekodi video Propaganda. Kwamba Wailipue hii S-300 TEL huku wakiwa range ya karibu, halafu warekodi Video ikiwa inawaka moto Mkubwa. Basi mmoja wakampa PK machine gun alipue. Ikawalipukoa wote waliokuwepo, so hawajafanikiwa hata kurekodi moto wenyewe🤣🤣
 
Askari unakufa kwa ubishi,ujuaji na ubabe wa viongozi wawili wakubwa ambao wao sio waathirika, familia zao zipo salama. Yako nani ataipa faraja nani ataitunza. Hapo wanapigania nchi au wanapigania ubabe waviongozi, ambao at the watapatana. We ndo umepata hasara na familia yako.
Wewe ulitaka Urusi waje waiteke Ukraine na Zelensky asipambane kulinda nchi sababu akilinda nchi anaonekana mbabe? Tuondolee ujinga. Mtu aje kwako abomomoe nyumba yako umuache ili usionekane mgomvi?
 
Back
Top Bottom