Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Leo tarehe 27 Machi Vikosi vya Ukraine vimekamata Kifaru cha Urusi aina ya T-72B3. Warusi tumewafurumusha pekupeku
Your browser is not able to display this video.
 
Leo tarehe 27 Machi 2022, Tumewafurumusha kweli Warusi. Hawa walikuwa wanakimbia na kifaru chao, tukawazima kwa Drone🤣🤣
Your browser is not able to display this video.
 
27 Machi 2022: Kuna kikosi cha Ukraine kinaitwa Azov Battalion kinawaendesha Warusi hadi basi. Hapa ni Mkoani Mariupol wakiforce kuwanyang'anya Warusi Vifaru viwili. Warusi ilibidi wakimbie na kuviacha🤣🤣
Your browser is not able to display this video.
 
Mungu ni mwema. Leo 27 Machi 2022, tumeweza wasukumia Mbali Waeusi na kuteka baadhi ya zana vita zao. Huu mji tunaouzingira ni Kherson. Warusi walikuwa wanasumbua, leo wananchi Watalala. Kikosi cha ardhini💪 zoom kuangalia Video
Your browser is not able to display this video.
 
Angalia Silaga aina ya Stugna-P ATGM ya Ukraine, ilivyosambalatisha Kifaru jeshi cha Urusi. Haijafamika bado ni aina gani ya Kifaru
Your browser is not able to display this video.
 
Leo 27 Machi 2022,Urusi wamepoteza sana.. Hawaamini macho yao.

Hapa ni Mkoa wa Sumy Wilayani Trostianets , Ukraine wameteketeza silaha aina ya 2B11/2S12 sani tatu, Sani 120mm mortars mbili, Magari ya Ugavi matatu, na Kifaru aina ya BMP-2. Na Magari mwngi aiana ya UAZ. Vyote vilivyoteketezwa ni mali ya Urusi






 
Hili ni gari la Urusi la kubeba silaha aina ya Ural-4320 Zvezda-V, limeharibiwa Mkoani Donetsk
 
Urusi wamepoteza Vifaru Magari, Silaha, Tonado U, Ural 4320, BM 21 Glad, Shturm S, T-72B3, T-80UE1
Sumy leo kulichangamka








 
🤣🤣🤣🤣🤣
Your browser is not able to display this video.

Huo wimbo ni Lucky dube
 
Sijui warusi wanakwama wapi?
Sifa zote zile za kijeshi walizonazo ni kama hazina maana au mantiki, bado wanapigana kizamani?
Yaani mpaka sasa wameshindwa kuikamata Ukraine. Maajabu haya.
Kwa kasi waliyoanza nayo walipaswa kushinda mapema sana
 
Mwanajeshi wa Ukriane achambua vyakula wanavyokula wanajeshi wa Urusi
Your browser is not able to display this video.
 
Kifaru cha Urusi aina ya BTR-82A kikiwa hoi kwenye mji wa Irpin Magharibi mwa Mkoa wa Kyiv. 27 Machi 2022
Your browser is not able to display this video.
 
Your browser is not able to display this video.
 
Nyie nao anzisheni uzi wenu, huu uzi ni kwaajili ya Ukraine tu. Russians anzisheni wenu
 
Sijui warusi wanakwama wapi?
Sifa zote zile za kijeshi walizonazo ni kama hazina maana au mantiki, bado wanapigana kizamani?
Yaani mpaka sasa wameshindwa kuikamata Ukraine. Maajabu haya.
Hata propaganda wameshindwa
 
Kuna watu wanadai Warusi wana mafunzo hawawezi kukamatwa kama kuku wa kisasa. Leo 28 Machi 2022 tumedaka hawa wavamizi wa Ukraine.
Hadi kesho watakuwa wanapumlia pua moja😂😂😂
Your browser is not able to display this video.
 
Jumamosi 26 Machi 2022, Jeshi la Ukraine lilikamata Godauni la Silaha za Urusi. Mara ya kwanza tulijua ni aina ya AK-12, baada ya Uchunguzi wa kina tumekuta ni "AK-74 RMO" au AK74 yenye KM-AK Obves iliyoboreshwa kwa kuongezewa vitu kama stock, reli na muzzle device.
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…