figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #4,001
Hakuna kitu nachukia Kama huyu jamaa hajaupdet huu uzi. Pole sana mrusi wa kisemvule sisi huu uzi tunaupenda sanaWw nae had nato wenzako wamekuchoka..unaaibisha jf..the home of GT
Namshangaa uyu mwamba sijui amelogwa ama nini, sasa umemchoka sawa bt kwenye uzi wake unafuta nini kwani si uke tu na mambo nyuzi zako unazozipenda wewe au uende kwenye nyuzi zenu nyie warusi wa usweken!!Hakuna kitu nachukia Kama huyu jamaa hajaupdet huu uzi. Pole sana mrusi wa kisemvule sisi huu uzi tunaupenda sana
Hivi mkuu kuna taarifa yeyote ya ukraine kupewa system za kulinda dhidi ya makombora ya Russia? Maana naona kwa sasa ndio kitu pekee kinachompa kiburi mvamizi wakimuweza kwenye makombora anayorudha akiwa mbali itakuwa ni countet nzuri sana na atapunguzwa speed sana.Mipango imekamilika. Hivi karibuni, Ukraine inaingia Crimea kwa kutumia HIMARS
View attachment 2293988
Ww nae had nato wenzako wamekuchoka..unaaibisha jf..the home o
Ndo maana anashambulia Mikoa ambayo hawajafikiwa na Ulinzi. Ila pote itawekwa. Sisi tunachat ila wao wamesomea hii fani ya Vita na wanapigana wao, wanajua cha kufanya. Usiwe na wasiwasiHivi mkuu kuna taarifa yeyote ya ukraine kupewa system za kulinda dhidi ya makombora ya Russia? Maana naona kwa sasa ndio kitu pekee kinachompa kiburi mvamizi wakimuweza kwenye makombora anayorudha akiwa mbali itakuwa ni countet nzuri sana na atapunguzwa speed sana.
Kivipi Mkuu, hebu funguka tujuze ni nato wepi wamemchoka na anaaibishaje jf?Ww nae had nato wenzako wamekuchoka..unaaibisha jf..the home of GT
Kimbelembele chake kufukunyua nyuzi za watu na sasa amesoma ya ukweli na kinamuuma halafu anajaribu kumkatisha Tamaa. We ulie tuu; Mkuu Figganigga Leta/Shusha vitu.........Mrusi ajue alikuwa hajui uvamizi hauna Tija hata ck moja.Ana aibisha vipi Jf we Mpuuzi umeshikiwa panga kusoma huu uzi?
Tuanawaombea na Tunawatakia mafanikio ya hali ya juu.Mipango imekamilika. Hivi karibuni, Ukraine inaingia Crimea kwa kutumia HIMARS
View attachment 2293988
Naunga mkono hoja. Kila ck LAZIMA nipite hapa kuona kilichojiri hususan jinsi KICHAPO kinatembezwa - yaani hadi raha.Hakuna kitu nachukia Kama huyu jamaa hajaupdet huu uzi. Pole sana mrusi wa kisemvule sisi huu uzi tunaupenda sana
Hahahaa; Mrusi atajuta kuzaliwaUkraine wana Mikwara si Mchezo🤣🤣
View attachment 2294079
Au wajikite zaidi kulipua maghala yanayohifadhi makombora hayo.Hivi mkuu kuna taarifa yeyote ya ukraine kupewa system za kulinda dhidi ya makombora ya Russia? Maana naona kwa sasa ndio kitu pekee kinachompa kiburi mvamizi wakimuweza kwenye makombora anayorudha akiwa mbali itakuwa ni countet nzuri sana na atapunguzwa speed sana.
Naam. Safi kabisa. Hadi Mrusi awe na bunduki isiyo na risasi, vifaru/ndege vikose mafuta,Kazi nzuri ya HIMARS kwenye ghala la Urusi huko Kherson
View attachment 2294273
Nyooo....marekani na ujanja wake wote hana defence system ya kuzuia makombora ya mrusi..calibr..supersonic..hayaonekan..nyie endeleeni kujamba jamba tuu..wakat mrusi bado yuko kwenye special operation..siku akisema ni total war..utakimbia na nguo kichwani na kathread kako uchwara hakaNdo maana anashambulia Mikoa ambayo hawajafikiwa na Ulinzi. Ila pote itawekwa. Sisi tunachat ila wao wamesomea hii fani ya Vita na wanapigana wao, wanajua cha kufanya. Usiwe na wasiwasi
Wanapiga kutoka kwenye meli baharini au wakati mwingine wanapiga tokea urusi kabisa dawa ni kuleta hizo sytem tu huku HIMARS zikiwapeleka puta mbwa hawa.Au wajikite zaidi kulipua maghala yanayohifadhi makombora hayo.