Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Nyooo....marekani na ujanja wake wote hana defence system ya kuzuia makombora ya mrusi..calibr..supersonic..hayaonekan..nyie endeleeni kujamba jamba tuu..wakat mrusi bado yuko kwenye special operation..siku akisema ni total war..utakimbia na nguo kichwani na kathread kako uchwara haka
Hamna makombora yasiyoonekana wewe mpuuzi. Vipi Urusi anaweza kuzuia HIMARS?
 
Nyooo....marekani na ujanja wake wote hana defence system ya kuzuia makombora ya mrusi..calibr..supersonic..hayaonekan..nyie endeleeni kujamba jamba tuu..wakat mrusi bado yuko kwenye special operation..siku akisema ni total war..utakimbia na nguo kichwani na kathread kako uchwara haka
Una akili za kitoto mno
 
Nyooo....marekani na ujanja wake wote hana defence system ya kuzuia makombora ya mrusi..calibr..supersonic..hayaonekan..nyie endeleeni kujamba jamba tuu..wakat mrusi bado yuko kwenye special operation..siku akisema ni total war..utakimbia na nguo kichwani na kathread kako uchwara haka
Mmhh; Mheshimiwa. Mbona tunaingia mwezi wa sita (zaidi ya siku 180)tangu ngoma ianze? Yy alisema ni sop. ya masaa 72 i.e. Three (3)days lakini mpaka sasa ziii. Huoni kwamba anafedheheka kwa Majigambo hayo(ikiwa ni pamoja na nyie pro-Urusi) na amebakia kukimbia-kimbia bila hata viatu? Je, anakimbia vijambo vyetu au kichapo? Jitafakari.
Usijidanganye bro. hakuna siku kuna Total War zaidi ya hii ambayo imemlazimu bila aibu ameshaenda kupiga magoti kwa Iran kuomba msaada.
 
Na HIMARS za kupiga umbali wa KM 300 zipo njiani zinakuja. Daraja la urusi huko Crimea likae mkao wa kula, litachapwa muda si mrefu.
Yaani hii vita ni ya Kidigitali zaidi... maana unaambia tutapiga point fulani na kweli panapigwa hapo na huna uwezo wa kuzuia au kudhibiti. Sasa hilo daraja cjui Mrusi atalihamisha kwa kulibeba au vp maana kesha ambiwa hilo ni sawa na halipo na hiyo ndo habari ya mjini.
 
Huyu dogo ana miaka 19 wapambanaji wenzake wanamuita "Zaporizhzhia Avenger" ndo aloangusha ndege ya Urusi aina ya Su-25 kwa kutumia Igla (Needle) man-portable-defense-system. Hii ni ndege ya Sita anaangusha. Pia kashaangusha cruise missile. Anapigiwa chapuo awe promoted.

Wakongwe wanamuuliza anafanyajefanyaje? Hajafikisha hata miaka 20
IMG_20220717_193757_891.jpg
IMG_20220717_193800_802.jpg
 
Huyu dogo ana miaka 19 wapambanaji wenzake wanamuita "Zaporizhzhia Avenger" ndo aloangusha ndege ya Urusi aina ya Su-25 kwa kutumia Igla (Needle) man-portable-defense-system. Hii ni ndege ya Sita anaangusha. Pia kashaangusha cruise missile. Anapigiwa chapuo awe promoted.

Wakongwe wanamuuliza anafanyajefanyaje? Hajafikisha hata miaka 20
View attachment 2294460View attachment 2294461
Dah; wakuu wa majeshi na majenerali wa ukweli ndio wanatakiwa waanzie level hizi sasa.
 
Nyooo....marekani na ujanja wake wote hana defence system ya kuzuia makombora ya mrusi..calibr..supersonic..hayaonekan..nyie endeleeni kujamba jamba tuu..wakat mrusi bado yuko kwenye special operation..siku akisema ni total war..utakimbia na nguo kichwani na kathread kako uchwara haka
Asante boss.
 
Mmhh; Mheshimiwa. Mbona tunaingia mwezi wa sita (zaidi ya siku 180)tangu ngoma ianze? Yy alisema ni sop. ya masaa 72 i.e. Three (3)days lakini mpaka sasa ziii. Huoni kwamba anafedheheka kwa Majigambo hayo(ikiwa ni pamoja na nyie pro-Urusi) na amebakia kukimbia-kimbia bila hata viatu? Je, anakimbia vijambo vyetu au kichapo? Jitafakari.
Usijidanganye bro. hakuna siku kuna Total War zaidi ya hii ambayo imemlazimu bila aibu ameshaenda kupiga magoti kwa Iran kuomba msaada.
Achana naye mkuu. Wanaujua ukweli. Nia yake mtukanane. Wafuasi wa Urusi wamejariwa matusi. Huwa siwajibu
 
Kuna picha imesambazwa na Urusi ya Gari la mizigo lililoshambuliwa la Ukriane. Ila Urusi imedai ni HIMARS. Jamaa kamuua kutoa tofauti ya hilo gari wanalodai ni HIMARS na HIMARS halisi. Angalia
 
Sasa hivi Urusi inaogopa kutunza silaha kwenye maghala ya silaha huko Mashariki mwa Ukraine, inachokifanya Urusi kwa sasa ni kupakua silaha huko mbali na kuzijaza kwenye magari ya kusafirishia na kuzipeleka msitari wa mbele. Hata hivyo hiyo ni risky pia itarudi kama mwanzoni mwa vita ambapo gari zilikuwa zinawindwa na drones na kulipuliwa.
 
Sasa hivi Urusi inaogopa kutunza silaha kwenye maghala ya silaha huko Mashariki mwa Ukraine, inachokifanya Urusi kwa sasa ni kupakua silaha huko mbali na kuzijaza kwenye magari ya kusafirishia na kuzipeleka msitari wa mbele. Hata hivyo hiyo ni risky pia itarudi kama mwanzoni mwa vita ambapo gari zilikuwa zinawindwa na drones na kulipuliwa.
Hata waziri wa Ulinzi kasema. Wakija kwa trucks ni Vizuri, sababu tunawapiga kuanzia nyuma. Mwisho wa siku wataishia kwao. Sasa akili ya Ukraine ipo Crimea.. Muda wowote kitawaka. Urusi tushawamudu
 
Back
Top Bottom