Ahaa. Kumbe mwarobaini upo.Sasa hivi Urusi inaogopa kutunza silaha kwenye maghala ya silaha huko Mashariki mwa Ukraine, inachokifanya Urusi kwa sasa ni kupakua silaha huko mbali na kuzijaza kwenye magari ya kusafirishia na kuzipeleka msitari wa mbele. Hata hivyo hiyo ni risky pia itarudi kama mwanzoni mwa vita ambapo gari zilikuwa zinawindwa na drones na kulipuliwa.
Aameen. Kazi iendeleeHata waziri wa Ulinzi kasema. Wakija kwa trucks ni Vizuri, sababu tunawapiga kuanzia nyuma. Mwisho wa siku wataishia kwao. Sasa akili ya Ukraine ipo Crimea.. Muda wowote kitawaka. Urusi tushawamudu
Azov wana hasira. Unajua wenzao wa Mariupol pale Azovstal walitekwa nyara?. So wanalipiza kisasi. Sasa hivi wana Battalion matata sana inajiita SOF (Azov special operations) Wameiva kivitaNawakubali sana vijana wasio na kanuni. No negotiations, No mercy, Death assured and guaranteed.
Mkuu nimeielewa sana hii video kuna mjinga mmoja kule kwenye uzi waliojazana pro russia na matusi yao ameweka picha hii kama ushahidi wa HIMARS kulipuliwa. Thank you.Kuna picha imesambazwa na Urusi ya Gari la mizigo lililoshambuliwa la Ukriane. Ila Urusi imedai ni HIMARS. Jamaa kamuua kutoa tofauti ya hilo gari wanalodai ni HIMARS na HIMARS halisi. Angalia
View attachment 2294538
Acheni unafiki figganiggaNimesoma kyiv independent kuhusu huyu mtoto. So sad kwa kweli
UK wamesema wamefika 50K
Sawa dadaAcheni unafiki figganigga
Zile HIMARS tatu zinazokuja ninahisi itakuwa ni special sana.Na HIMARS za kupiga umbali wa KM 300 zipo njiani zinakuja. Daraja la urusi huko Crimea likae mkao wa kula, litachapwa muda si mrefu.