Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Viongozi wa Urusi hawana busara Mana wameamua kufanya nchi yao kuwa masikini kwa kutaka sifa za kijinga.Wanajua hii vita hawashindi ila wanachofanya ni ubabe wa kijinga
 
Nimeona meli zote zimeondolewa Crimea na kupelekwa Urusi
Wamejua muziki mzito unakuja maana Ukraine inaandaa jeshi la mtu milioni moja kwa ajili ya South Offensive. Warusi wanajua hiyo offensive ya South italenga hadi meli zilizoko black sea, na kama unavyojuaUkraine ina zils Hapoon missiles za kupigia meli.
Ndiyo maana Urusi kwa kuanticipate counter offense ya Waukraine imepreempt mashambulizi ili kuwazuia waukraine kuwa wao ndo waanzisha offense.

Tunakwenda mwezi wa Sita wa vita sasa, Urusi haijaweza kukamata Donbas nzima, imekamata Luhansk tu ila Donetsk bado kinawaka
 
Wap walitest na wakashindwa kuzui hayo makombora?
 
Safi mnooo tumfanyie promo kweli apandishwe cheo
 
Hapo juu nilimpost akiwa kwenye action. Anaitwa Anastasia Lenna, alikuwa Miss Grand Ukraine. Yupo frontline achana na wakina Wema Sepetu.

“If Russia stops fighting, there will be no war. If Ukraine stops fighting, there will be no more Ukraine."
 
Tusifie silaha zote, ila msisahau hii CAESAR Howitzer ya Ufaransa. Ndo silaha imetusaidia kule Donbas warusi wakashindwa kusonga mbele. Haikosei shabaha, sema zipo chache. Tungepata hizi 20 pale Kherson, sasa tungekuwa tunaongea mengine. Hii ina GPRS. Inatumia computer na inapiga umbali wa km 40 hadi 55. haikosei. Sema tofauti yake na himars kwa shabaha hakuna
Your browser is not able to display this video.
 
... Shida ina mtutu mmoja. Ingekuwa na mitutu kama nane hivi inatema simultaneously safi sana. Maoni ya mjinga lakini mtanisamehe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…