figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #4,081
Wanazidi kupata uzoefu kaka. Nawatakia kazi endelevu.Wameshusha Bomber yao wenyewe
Ni ajali kazini au mabehewa yaliona kiza mbele?😀Huko Urusi Mkoa wa Tula, mabehewa 12 ya treni ya mizigo yalibadili mawazo yao kuhusu kuelekea upande wa Ukraine na kuacha njia na kugeukia yanapotoka
Inashangaza, ilikuaje?
View attachment 2295653
Sawa shogaaa...mwanaume mwenzako anakuletea engagement ring soon..Kafagie uwanja kabla mme wa dada yako hajarudi
Endeleeni tu kusifia hizo HIMMARS, kila kukicha wenzenu WARUSSI wanateka miji mikubwa na kujiimarisha zaidi na zaidi.
Ni kweli lakini hakuapa kulinda na kitetea nchi yake kizembe-zembe na kwa shinikizo la ki-Uvamizi lisilo na maslahi kwa nchi yake ila ni kwa maslahi ya Dikteta mmoja.Askari kufa (kupoteza maisha) akiwa vitani sio jambo la ajabu sana tangu enzi na enzi, kwani aliapa kulinda na kuitetea nchi yake dhidi ya maadui wa ndani na nje ya mipaka ya nchi yake.
Mmm; mkuu Warussi sio wenzetu katika hili na cjui wanajiimarishaje wakati wanakimbia-kimbia bila kupata nafasi ya kuvaa hata viatu. Hiyo miji mikubwa walioteka ni ipi? Usikute ni huko Kiboriloni au Rau madukani.Endeleeni tu kusifia hizo HIMMARS, kila kukicha wenzenu WARUSSI wanateka miji mikubwa na kujiimarisha zaidi na zaidi.
Wanaume kwelikweli wanajua wanachokifanya na wanakifanya kwa uhakika na kwa moyo wa dhati.Huu Usafiri ambao Azov wanatumia nimeupenda. Mrusi atapigwa kwa kila mbinu
View attachment 2296350