Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Risasi za kikatili
Your browser is not able to display this video.
 
Kokosi chetu bora cha 93rd OMBr huko Izyum, kimewafanya Warusi wakimbie na kuacha Viatu
Your browser is not able to display this video.
 
Endeleeni tu kusifia hizo HIMMARS, kila kukicha wenzenu WARUSSI wanateka miji mikubwa na kujiimarisha zaidi na zaidi.
 
Hii silaha ya kutungulia ndge ndo inaitwa ZU-23-2 "Sergey", au ZU-23, bomba mbili
Your browser is not able to display this video.
 
Askari kufa (kupoteza maisha) akiwa vitani sio jambo la ajabu sana tangu enzi na enzi, kwani aliapa kulinda na kuitetea nchi yake dhidi ya maadui wa ndani na nje ya mipaka ya nchi yake.
Ni kweli lakini hakuapa kulinda na kitetea nchi yake kizembe-zembe na kwa shinikizo la ki-Uvamizi lisilo na maslahi kwa nchi yake ila ni kwa maslahi ya Dikteta mmoja.
Ili askari awe na morale wa vita ni lazima ajue na aelewe anaingia vitani kwa malengo gani sio kwenda kichwa-kichwa tu eti Afande kasema.
 
Endeleeni tu kusifia hizo HIMMARS, kila kukicha wenzenu WARUSSI wanateka miji mikubwa na kujiimarisha zaidi na zaidi.
Mmm; mkuu Warussi sio wenzetu katika hili na cjui wanajiimarishaje wakati wanakimbia-kimbia bila kupata nafasi ya kuvaa hata viatu. Hiyo miji mikubwa walioteka ni ipi? Usikute ni huko Kiboriloni au Rau madukani.
 
Risasi za kikatili
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…