Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Jeshi la Urusi baada ya kuona Vifaru vyake vinachukuliwa na Ukraine, wameamua kutumia Pickups. Mwaka huu 2022 Ukraine ndo nchi inayoongoz kuwa na Vifaru vya Urusi kwenye Soko la Dunia la Silaha.

Nazo tutazibeba🤣🤣🤣

Your browser is not able to display this video.
 
Vifaru vya Urusi ain ya T-80U. Tunafuatilia ni Ukraine sehemu gani
Your browser is not able to display this video.
 
Vifaru vya Urusi kiboko yake ni NLAW missiles.

Ikipigwa lazima Mkonga ufyatuke na kuacha kiwiliwili. Hii vita inaenda kubadilisha Mfumo wa kutengeneza Vifaru vya Urusi. Vimeshakuwa outdated

Yaani silaha ndongo NLAW tena moha tu, inachanachana kifaru chote🤣🤣🤣
 
Kuna watu watajiuliza, hiyo Silaha ya NLAW inayoangamiza Vifaru vya Urusi ipoje? Ni silaha inayobebeka, ina Kilo 11, inaweza kupiga umbali wa mita 600 kwa Sekunde mbili hadi 3.
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
 
Ikiwa kazini sasa
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
 
Angalia Warusi walivyoteketezwa kama sisimizi
Your browser is not able to display this video.
 
Ukraine imekamata kifaru aina ya T-72B3M (Obr. 2016)
Your browser is not able to display this video.
 
Nilisema kwamba Urusi hawafiki mbali
Your browser is not able to display this video.
 
Habari njema ni tarehe 28 Machi 2022 tumeukomboa mji wa Irpin japo Mapambano yalikuwa makali. Warusi wamelia na kusaga meno.

Sasa tumebakiza Mji wa Bucha tu ili Kyiv yote ikombolewe.

Sasa tumewafukuza Warusi kwenye miji ya Motyzhyn, Lisne, Kapitanivka na Dmytrivka. Warusi sasa wapo umbali wa 16km kutoka walipokuwa Mwanzo.

Hawa waliopo Bucha tunawazingira tu. Nitawapa Update
 
Your browser is not able to display this video.
 
Mji wa Irpin. Picha imepigwa kwa Drone
Your browser is not able to display this video.
 
Your browser is not able to display this video.
 
Urusi Wamerudi nyuma Mashariki kwa Ukraine kujipanga upya. Hapa wapo karibu na Mji wa Kursk. Tunawachora tu😂😂
 
Angalia msafara wa Urusi ulivyo shambuliwa kwa kutumia Whilst 5 IEDs tu.
Your browser is not able to display this video.
 
Baada ya Mji wa Irpin kukombolewa, Ukraine wanaingiza Vifaru vyao katikati ya mji
Your browser is not able to display this video.
 
29 machi 2022: Jeshi la Ukraine katika mji wa Trostianets Mkoani Sumy wamefanikiwa kuteka Vifaru vya Urusi aina ya Msta-S 152mm self-propelled howitzer na T-72B3M (Obr 2016)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…