TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Sawa. Basi na hoja zenu ama maswali yaulizeni kwa kutumia video ama picha.Mkuu unatujazia miandishi tu huku uzi huu sio wa kubishana tumewachia kule huu wa video na picha maneno hayana nafasi
Halafu anakuja jamaa (hapo juu)kutoka uzi wa upande ule anadai kwamba kwenye ramani inaonesha Mrusi anaitafuna nchi kama mpunga.......... cjui amewezaje kuwaona kwenye ramani wakitafuna.....Urusi wamekutana na Risasi za Kikatili za vijana wasio na kanuni. Wamekufa kama sisimizi🤣🤣🤣. Sijui walikuja Ukraine kutafuta nini.. Dawa imewaingia🤣🤣🤣
View attachment 2299126
HahahaaaIla Azov jamani, acha Warusi wawachukie, wana roho ngumu Azov. Hawana huruma hata chembe. Mrusi alikutana na Azov anajua ni kufa tu, bora ajipige risasi[emoji23][emoji23]
View attachment 2299035
Dawa imekolea[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2299160
Ewae; Anawahi Frontline kukoleza moto. Mrusi hakuna rangi ataacha kuona kutokana na Ubabe wake kuvamia nchi ya watu.😀Hizi ndo AHS Krab za Poland, zinakimbia kama mshale, anawahi Frontline kuongeza nguvu
View attachment 2299349
Ni vizuri mkuu kwamba Warusi Original wameshuhudia wenyewe. Sasa cjui hawa Warusi wa Mianzini watawalaumu wenzao kwamba kwa nini wameona na kushuhudia.HIMARS ilivyosambaratisha ghala la Silaha za Urusi huku Wanajeshi wa Urusi wakishuhudia. Hawana cha kufanya
View attachment 2299346
Yeah. Ila Mmmm!. Hawajambo kwa matusi aisee. Hao wengi wao ni vijana wa dotcom. Yataka moyo.We jamaa unachonifurahisha warusi wa kwa mtogole huangaiki nao umetuachia sisi tujibishane nao