Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Hata Mkuu wa MI6 ya Uingereza kasema Jana kwamba ndani ya miezi miwili ijayo Urusi hatakua Tena na uwezo wa kupigana.
Inawezekana. Urusi ilijiandaa kwa hii Vita, ukiangalia Maghala ya Silaha yaliyoharibiwa Donbas Kherson kherkyiv, hakika walijiandaa. Sasa hivi wakisikia Ukreina wanakuja basi wanakimmbia mbio.

Angalia picha. Kabla na baada ya HIMARS maghala ya Silaha na risasi yalivyo.
 
Hata Mkuu wa MI6 ya Uingereza kasema Jana kwamba ndani ya miezi miwili ijayo Urusi hatakua Tena na uwezo wa kupigana.
Jamaa wanakufa kama sisimizi ubaya viongozi wao hawajali kuhusu maisha ya askari wao. We fikiria wamepigana tu na ukraine miezi 6 lakini wameshapoteza askari wengi kuliko US alivopoteza kwa miaka 20 vita vya Afghanistan.
 
Daaaah hatare mnooo
 
Urusi ukishakufa wanakuona takataka. Hawataki kurudisha mizoga nchini mwao, sababu huko kwako wanaaminishwa hakuna Askari wa Urusi anayekufa.

Ni vizuri mizoga wairudishe ili watoto wazazi na mke wazike kuliko kuiacha kwenye Mapori ya Ukraine then wanadai hawajulikani walipo. Wanaona aibu.
Eti Lost in Action kumbe wamemuacha kwenye mashamba ya Ukraine
Your browser is not able to display this video.
 
Tumepapata. Wanajeshi wa Urusi zaidi ya 2,000, wamezingirwa Vysokopillya Mkoani Kherson. Wanaomba Corridor warudi Urusi walipotoka. Natamani Wangezungukwa na Azov, tungekuwa tunaongea mengine. Wote wangekufa.

Sisi walituzingira Azovstal wakajitapa sana. Zamu yao🤣🤣🤣
 
Mkuu; Kwani utaratibu ukoje? Hao si ni Matekaa?
 
Ukraine wamegoma kuwapa Warusi green Corridor waretreat. Wamepewa masaa kujisalimisha wao na vifaa vyao au wote wauawe. Usiku huu hadi saa nne, Wanajeshi 59 wa Urusi wamejisalimisha. Asubuhi tunategemea wengine zaidi..

Walikaa wakisubiri Silaha na risasi kwa siku tatu, bila kujua HIMARS imeshalipua ghala. Hawana msosi. Hakuna wa kuingia wala kutoka 🤣🤣🤣

Azov muda wangeshawapa risasi za Kikatili
 
HIMARS zingewahishwa tangu hii vita inaanza nadhani mpaka Crimea ingekua isharudi Ukraine
 
Safi sana wachukue mateka hao watasaidia badae kwenye kubadilishana. Peleka moto tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…