WAZO2010
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 1,615
- 3,784
Wewe kusanya mapicha tu mkuu. Huweki hata report za AFU au MoD ya Ukraine. Kazi kuokoteza mapicha tuUshakalilishwa ujinga. Jipe muda kujisomea ufute huo ujinga uliokujaa kuhusu vita ya Ukraine. Kwanini uambiwe? Hujui kusoma au huoni? Mnatia huruma. Wewe ni moja sitohangaika hata kukunukuu sababu unaongea kwa ushabiki. Rudini kwenye thread yenu mkadanganyane. Hii thread sio level yako. Sababu unasikia kile unachopenda kusikia. Tunawauliza kwanini Maghala yenu yanalipuliwa wakati Mnao ulinzi wa anga hamjibu. Tukiwauliza kwanini hamsongi mbele hamjibu, tukiwauliza kama mnao uwezo kwanini mnaenda kuomba Silaha ndogo kama Drone huko Uaraabuni hamjibu. Tukiuliza kwanini Majenerali wenu wanakufa kama sisimizi mnasema uongo. Tuacheni sisi tuhabalishane. Sio lazima utusome wala uchangie.