OSEFUKANY
JF-Expert Member
- Jan 16, 2011
- 2,437
- 3,896
Majamaa ni makatili kweli kweli. Yaan hawana hata zile sindano za kupumbaza mtu asiyasikie maumivu? Basi pia hawana hata ubunifu (Under field conditions). Kwa nini wasitumie hata hayo mapombe yao makali wanayokwenda nayo huko vitani?Wanajeshi wa Urusi wanalalamikiwa kwa kumuua mwenzao wakati wa kuretreat. Wanadai alikuwa analalamika kuumia hadi anatoa sauti kwa nguvu, wakaona watafanya Ukraine wajue walipo ndo wakampiga ya kichwa.
Kwanini wasingembeba kwa machela?
View attachment 2310177
Hawana Umoja (Solidarity) wakati wa hali tete uwanja wa medani.