Bugucha
JF-Expert Member
- Jan 3, 2020
- 3,374
- 13,922
Kutekwa,kufa ni sehemu ya vita,wala hamna cha ajabu wala jipya!Waendelee vipi? Mbona sikuelwi?
Hawa hapa wakiwa wameteka Wanajeshi wa Urusi
View attachment 2308449View attachment 2308450
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutekwa,kufa ni sehemu ya vita,wala hamna cha ajabu wala jipya!Waendelee vipi? Mbona sikuelwi?
Hawa hapa wakiwa wameteka Wanajeshi wa Urusi
View attachment 2308449View attachment 2308450
Ina onesha Donbas ni Region kubwa sana.Tutajie hayo majimbo mkuu..
Hivo ndo kukimbia au ni ku-retreat? Ameona moto wa Ukraine ni wa kuotea kwa mbali sio?. Heko Ukraine. Mungu awatie ujasiri na kuwawezesha kumng'oa huyo Goliath na kumtupa nje ya mipaka yenu halali - Aamina.Drone za Ukraine zimeshambulia Crimea leo. Huu ndo mwanzo, Urusi waanza kurudisha Urusi vifaa vya thamani
View attachment 2309843
Mkuu; Usiaminishwe Umbeya na Ubuyu wa maneno ya kuokoteza mitaani(Vijiweni) au kule kwenye uzi wenu yasiyo na Ushahidi wowote, wala chanzo na Uthibitisho wowote. Sikuambii uje huku mkuu, La; bali nakutanabahisha unapopata Taarifa yoyote jaribu kwanza kuihakiki ukweli wake - ingekuwa ni mahakamani mzee, unafungwa leo-leo kwa mtindo huo wa "Nimesikia..., Nimeambiwa..."Usidanganywe na mapicha yakuokoteza hapa. Maeneo mapya ya Ukraine kila siku yanachukuliwa. Jana tu karibu majimbo 3 yame chukuliwa.
Wakuu nitoeni ujinga; hivi drones zikitumwa zinatakiwa zirudi au huwa ni suicide?Drone ikiwahenyesha wanajeshi wa Urusi
View attachment 2310026
Usikasirike mkuu,. Mrusi atumie silaha nzito kutoka wapi? Mbona kwenye maghala yake inavyoonesha ni Hazipo.Urusi muda mwingine wanakera sana, hii vita watashindwa kwa ujinga wao wa kutotumia silaha nzito kumaliza hii vita.
Au Urusi hana hizo silaha nzito kama tunavyoaminishwa?
Anaruhusuje wanajeshi wake wanateketea kwa wingi hivyo?
Anaruhusuje eneo wanaloteka, linakombolewa tena?
Hii vita ukraine inakuwa magofu, imeanguka kiuchumi, watu wanakufa ila Urusi na yeye anapata hasara kubwa sana kupoteza idadi ya wanajeshi wengi, vifaa n.k.
Gap analotoa Urusi kwa ukraine kujipanga, kupokea misaada ya vita na mafunzo, litamcost sana Urusi.
Na sijawahi kuona vita ambayo unampa adui nafasi ya kujipanga halafu akurudishe tena nyuma.
Hii vita ni ya kijinga sana.
Hizi ni loitering munitions, zenyewe zikielekezwa ndo mwisho wake hazirudi...Wakuu nitoeni ujinga; hivi drones zikitumwa zinatakiwa zirudi au huwa ni suicide?
Itakuwa wale jamaa wa kujilipua walisaidia sana wazo la drones! Thanks.Hizi ni loitering munitions, zenyewe zikielekezwa ndo mwisho wake hazirudi...
Zinazorudi ni kama bayraktar
Zipo za Suicide na zipo za kupiga kazi kisha kurudishwa kwa aliyeirusha au campWakuu nitoeni ujinga; hivi drones zikitumwa zinatakiwa zirudi au huwa ni suicide?
Na kuza zingine zenyewe zinakuwa zinawinda vifaru tu, zinakaa angani hata masaa 6, kifaru kikionekana kinakwenda na majiItakuwa wale jamaa wa kujilipua walisaidia sana wazo la drones! Thanks.
Fashisti ndiye changamoto zaidi ya amani ya dunia.Urusi kadri vita inavyosonga mbele anazidi kupata ugumu. Bora hata angemkamata Rais wa Ukraine. Achaguliwe Rais mwingine.
Huyu Rais wa ukraine kuendelea kubaki madarakani mpaka sasa ni changamoto wa Urusi kwenye vita.
Wameamua kuanua Tanga mapema. 😂😂. Wanajua kifuatacho ITV.
Mjomba HIMARS anaogopwa na warusi balaa. Wakisikia kakohoa wanachanganyikiwa. 😂😂😂Urusi walinusa shambulio la leo Crimea. Jana Wamehamisha Vifaa vya Uhandisi kutoka Crimea na kuvirudisha Urusi. Leo Makao Makuu ya Jeshi la Majini la Urusi Mkoani Crimea, limeshambuliwa na Drone. Kazi imeanza.
View attachment 2309835
Kwa hiyo na Ukraine war Google update inaokoteza position ya frontline ya kila upande . Wewe utakuwa mburura kweli kweli. Tena wale wakabunga.Usidanganywe na mapicha yakuokoteza hapa. Maeneo mapya ya Ukraine kila siku yanachukuliwa. Jana tu karibu majimbo 3 yame chukuliwa.
Kumkamata Rais ni shughuli pevu mno. Halafu matokeo ya jaribio hilo ni mabaya kuliko maelezo kwani Mrusi atakuwa ameunda uadui wa kudumu baina ya Urusi na Ukraine kama ilivyo kwa nchi za Pakistan, Bangladesh, Ethiopia na Eritrea. Kila mtawala atakayekuja madarakani kwa uchaguzi wenye shinikizo hatakubalika katika jamii zote za nchi hiyo. Kwa hiyo ni vurugu tupu na mauaji ya kuviziana. Bora Mrusi asitishe vita na pande zote mbili wakae meza moja wazungumze tofauti/ kero zao hata kama ni kwa mwaka mzima ili hatimaye kupatikane suluhisho litakalokuwa limekubalika na pande zote.(Ni kwa mtazamo wangu)Urusi kadri vita inavyosonga mbele anazidi kupata ugumu. Bora hata angemkamata Rais wa Ukraine. Achaguliwe Rais mwingine.
Huyu Rais wa ukraine kuendelea kubaki madarakani mpaka sasa ni changamoto kubwa kwaa Urusi kwenye uwanja wa vita.