Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Kiongozi wa Wagner Kwaheri ya kuona.. Mlijua Ukraine ni shamba la bibi, sasa mnageuzwa mbolea ya kustawisha Alizeti.

Huyu mercenary Urusi walimleta kutoka Syria Wakampa Ukamanda wa Battalion. Huyu ndo alikuwa Boss wa Spetsnaz Battalion anaitwa Sergei Kononov. mercenary ni wanajeshi wa kukodiwa, wanalipwa kwa Masaa, huna hela anaenda kwa adui anawasaidia as long ana hela.
 
Urusi wana roho mbaya. Huyu mwenzao alienda kupigana Vita akakatika miguu yake yote miwili. Jamaa kagoma kumpandisha kwenye basi. Anadai alienda kupigana vita kwa ujinga wake na manufaa ya Familia yake. Je, Warusi hawapendani? Dereva anasema matatizo ya kukatwa miguu kwenye vita ya putin hayamhusu
Your browser is not able to display this video.
 
Urusi wameshindwa kubomoa ngome ya Ulinzi wa Ukraine, sasa anachofanya ni kulenga Majengo ya raia na miundo mbinu. Mpo zenu mnacheza draft mnasikia kitu kimetua. Kwanini wasipambane na Wanajeshi wenzao? Wanaboa Mashule, majimba ya Makumbusho, Hospitali nk. Wanashindwa Vamia kambi za jeshi sababu zina Ulinzi
Your browser is not able to display this video.
 
Si walisema wameharibu zote?
 
Nimeiona huko Twitter.. nasubiri taarifa zaidi.View attachment 2312466
Hukumuelewa. Anton Gerashchenko, anawasanifu Urusi wanaodai kuikomboa Mariupol wakati mji wameufanya kuwa magofu hata wenyewe hawaishi. Urusi kufanya uharibifu wanadai ndo kuikomboa sehemu. Hamna maji, nyumba, mitambo wala barabara iliyosalia.. Halafu wanafurahia hivyo vitendo kwamba ndo kukomboa. Hakuna hata mtu barabarani
Your browser is not able to display this video.
 
Hapa ni Maryanka jirani na Donetsk, hii Video imechukuliwa na Drone. Huo moshi unaonekana ni Vifaru vya Urusi vimelipuliwa. Vingi sana hadi Wameretreat. Wasiojua Maryanka ilipo, waangalia kwenye ramani ya post kabla ya hii.
Your browser is not able to display this video.
 
Leo napost Mapambano yaliyorekodiwa live Frontline. Kujeruhiwa ukiwa Frontline kawaida tu. Just kufumba na kufumbua.

Hawa ni Wanajeshi wa 92 OMBR au Ivan Sirko 92 Mechanized Brigade wakipambana na Wanajeshi wa Urusi. Mwanajeshi wetu mmoja alijeruhiwa kwa risasi mkononi.

SEHEMU YA KWANZA
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…