Jeshi la anga la Ukraine bado linafanya kazi kama kawaida. Urusi walijaribu kuharibu mifumo ya anga, ila sasa kila kitu kipo poa. Hizi picha zimetumwa na kikosi cha anga cha Ukraine cha 831st Tactical Aviation Brigade kikiwa airbase ya Myrhorod Mkoani Poltava
Ndege za Ukraine zinazoonekana hapa ni Su-27/S1M na MiG-29/MU1 fighter aircraft zikiwa na Makombora ya R-27R na R-73 AAMs. Hii R-73 wenyewe ndo wanaita short-range air-to-air missile
View attachment 2313472View attachment 2313473View attachment 2313474View attachment 2313475