Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Hapa Urusi wakiwa wanawachinja Wanajeshi wa Ukraine kama Mbuzi. Halafu azov wakipasua watu Vichwa eti wanawalaumu. Tusilaumiane. Hii video sitaweka, naweka picha.. Hata wahusika tushawajua.. Kazi yao kuchinja kwa kisu binadamu wenzao. Azov hawawezi kubali, bora waitwe Magaidi tu
 
Haya Magari ya Urusi yameiba nafaka Ukraine kupeleka Urusi. Hayakufika salama. Hapa ni Crimea
Your browser is not able to display this video.
 
Haya.Waliokuwa wanalialia eti ngano.....Sasa waimbe NEEMA IMEFUNGULIWA.....
Brimstone Salvo ndani ya Ukraine. Hii ni attack missile
View attachment 2317853
Waw. Sasa Hapo Mrusi lazma aombe poo.
Hiyo mashine ni ya kutoka wapi boss?
 
Inauma sana. Napendekeza AZOV waimarishe na kuboresha upasuaji wa vichwa vya Wanajeshi wa Urusi pindi wakiwakamata. LEGION nao waimarishe ulipuaji wa miundombinu ya Warusi na ikiwezekana nao pia waanze chap kuwapasua vichwa Warusi. Inavoonekana huko tuendako mtindo utakuwa ni kupasuana vichwa tu sasa. Dah! Vita ni vita aisee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…