Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Na iwe hivyo. Amen!
 
Short Drama:
Vijana: Hodi- hodi kwa HIMARS na Drones
HIMARS na Drones: Karibuni vijana, mnasemaje, mbona asubuhi-asubuhi namna hii vp. kwema?
Vijana: Heshima kwenu Wakuu. Samahani, tumemleta tumemrudisha tena mgonjwa wetu tunaona hali yake inazidi kuwa mbaya licha ya dozi kali mliompa tangu February 2022
HIMARS na Drones: Ama!! huyu mgonjwa wenu (Mrusi) ni sugu etie?. Sasa hamueni ninyi wenyewe -tummalize au tumbadilishie dawa?
Vijana: MALIZA KABISA MZEEE, MMalizeeeee;Tumechoka naye huyo - MALIZAAAAAAA.
Dah! Hapa kwa mbali Nawaona Pro Russia wamekaa Tuli-kimya kabisa utadhani wapo chooni wanapata poo.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Chmonya hawatawasahau HIMARS na Drones.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Chmonya hawatawasahau HIMARS na Drones.
Wapo kule kijiweni kwao wanadanganyana eti Mrusi amedukua mfumo wa mawasiliano wa Kampuni ya Lockheed inayounda HIMARS kwamba mawasiliano yote yamevurugwa (yamepata virus) na hivyo kila kitu ni zii na hakuna antvirus hadi sasa.
Lakini cha ajabu ni kwamba mbabe wao huyo(Mrusi) anatimua mbio kule Crimea na kiwanja cha ndege ikiwa ni pamoja na ndege zilizokuwapo hapo uwanjani zimeteketezwa na HIMARS. Sasa wapi na wapi hawa pro Russia na uongo wao.
 
Wanapeana faraja tu. Ni mjinga tu ndo atakubaliana na porojo zinazosemwa. Wanafikiri Lockheed ni mzembe kiasi hicho.

kwani wakati anaenda kuvamia hakujua kuwa Lockheed ametengeneza HIMARS na Silaha zingine zinazotumia technology ya kisasa.

Mbona Pentagon na NATO walimuonya asiivamie Ukraine. Na siku chache kabla ya kuvamia mzee Biden alimpigia simu kumsihi asifanye uvamizi lakini akakaidi. Fashisti hakuyajua yote hayo?
 
Ukraine kapiga daraja lingine la kakhovka mjini Kherson na kulifanya lisiwe na matumizi wakati huohuo tathmini za mlipuko wa crimea jana zinasema watu 60 wamekufa na pilots 100 kujeruhiwa inaweza kuchukua mwaka mzima kurejesha huduma za ndege kama awali
 
Ukisikia mtu kichwa ngumu basi ndo huyo. Analinywa kama alivyoligema.
 
Huduma watazirejesha wengine kwani yeye (Mrusi)atakuwa hayupo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…