Safi sana. Bora vita iendelee hata kwa miezi 6 mingine ijayo ili kumpunguza nguvu za kijeshi.
Pentagon, NATO na washirika wake waliona mbali sana. Walikuwa wanajua namna ya kushughulika na Fashisti na walifanya assessment ya kutosha kabla hawajakaa kwenye drawing table.
Sasa ndo tunaona matunda yake na tutaendelea kuona. Maana mgonjwa anaongezewa dozi taratibu. Dozi ya HIMARS na zile Drone inayotumika kumtibu mgonjwa ikipungua nguvu, dozi inayokuja itammaliza kabisa nguvu fashisti. Let us wait and see.
Pro Russia siku hizi hata ka takwimu ka kuokoteza hawana kabisa. Hata ka picha hakuna kabisa. Wamepigwa ganzi na
figganigga.