Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Hakuna kitu Marekani ilikuwa inatamani kama hiki.North Korea imetoa Wanajeshi 100,000 kuisaidia Urusi kwenye Vita vya Ukraine. Kati ya hao 50,000 ni Wajenzi. Wanataka wakajenge Miundombinu ya Mariupol.

Marekani itafanya juu chini japo kuteka Wanajeshi 2000 kati ya hao ili ipate Siri za Korea. Hawa Jamaa waligoma kushiriki vita yoyote. Sasa waneingia 18
 
Mbona umechukua foleni ya kiev ha ha ha ha ha ha ha ha
Ngoja nikusaidie kuelewa Mjinga wewe. Kyiv ni mji Mkuu wa Ukraine na hakuna Vita inaendelea. Pia Kyiv hakuna Milima wala Mapori ni Magorofa tu

Hapa ni Mkoani Crimea, Urusi wanakimbia Nchi wanarusi Urusi. Pole sana. Unashindwa hata kuongia Google kuverify kabla hujaja hapa kutapika? Mimi sifanyi propaganda. Huu uzi utauona Mchungu.
 
Huyu ni Askari wa Kujitolea kutoka Israel. Kajitengenezea kibelenge chake. Hawa jamaa wana akili sana. Sisi kwetu tuna reli hazitumiki na wananchi hawaoni Fursa
Your browser is not able to display this video.
 
Urusi waliigeuza Crimea kwao. Juzi airbase ya Saki ilipolipuliwa. Warusi walitafutana. Haya mambo ya kukalia nchi kimabavu ni ukoloni ulopitwa na wakati. Urusi walijiona wanauwezo wa kuikalia nchi yoyote watakayo kwa Mabavu. Sasa wanafundishwa Ukraine jinsi ya kuheshimu mipaka ya Nchi
Your browser is not able to display this video.
 
AIBU: Urusi ilikuwa inajidai ina jeshi kubwa, ina jeshi imara, Nchi ndogo kama Ukraine imewamaliza Wanajeshi wa Urusi hadi sasa inaomba Misaada ya kijeshi kutoka Korea, Syria Belarus nk. Nchi Tajiri inaombaomba🀣🀣🀣. Tuliwaambia hii vita Urusi hatoboi.
 
TV ya propaganda ya Urusi, ilionesha kwamba HIMARS zinaharibu majengo tu si Jeshi la Urusi. Bahati mbaya wakaonesha Vifaa na Magari jeshi ya Urusi yakiwa yamelipuliwa kwenye hilo Jengo liliolipuliwa na HIMARS. Mkurugenzi wa TV sasa anatuhumiwa kwa Uchochezi.
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…