Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

North Korea ataleta wafungwa waje pigana
 
Akiwateka dawa yao ni sumu tu
 
Anaomba mpk South Africa, uganda, Egypt na Iran. Aibu y miaka
 
Akili zimeanza kuwakaa sw
 
Hahahaaa wamepagawa
 
North Korea ataleta wafungwa waje pigana
Hiyo ni akili matope. Yaani mtu ana stress za kufungwa unategemea akapigane tena siyo nchi yake. Hata ingekuwa nchi yake hawezi.

Waje tu tupate mbolea ya kutosha, maana mbolea ya makendee ina virutubisho vingi.
 
Jana Ukraine walikuwa na Plan ya kuliangusha kabisa daraja la Antonovskiy lakini bahati mbaya hatujafanikiwa kama tulivyopanga. Makombora mawili tu ndo yalitua, manne Urusi waliyadaka. Tutarudia tena, safari hii tutatumia HIMARS.

Hili daraja la Kherson linatakiwa lishuke chini.

Tusubiri kuona picha za Uharibifu wa leo, hautakuwa mkubwa hata hivyo.. Hatupoi. Urusi kufaka haya Makombora manne leo Mtandaoni hatupumui. Sijui Niifute hii Video🤣
Your browser is not able to display this video.
 
Hili ni daraja la Antonovskiy. Tusubiri kuona uharibifu.. Jana ilikuwa liondoke lote kukata Mawasiliano ya Crimea na Kherson. Tuaturudi tena.
View attachment 2323535
Hata hivyo ni step ahead. Maana sasa hivi wamebaki kujilinda badala ya kusonga mbele. Makombora mawili yaliyotua ni ishara nzuri kuwa wapambanaji wanaupiga mwingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…