Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

North Korea ataleta wafungwa waje pigana
Wakishavaa combat za urusi, Wajue itakuwa ni vigumu kutambua yupi ni mfungwa na yupi askari wa kweli. Kwa mantiki hiyo Kazi itakuwa ni moja tu - wote watanyweshwa dawa. Labda wajiongeze wakifika frontline kazi yao iwe ni kujisalimisha chap.
Hivi naomba kuuliza: Taratibu za kivita kimataifa zinasemaje kuhusu Haki ya kuwapeleka wafungwa vitani?
North Korea nae ni chizi fulani. Akili ya kupunguza idadi ya wafungwa waliofurika magerezani kwake cjui kai-copy wapi na anai-paste vita ya Ukraine ambayo ni vita ya ukombozi.
 
Kapata akili hiyo baada ya kupuliza bangi. Yule jamaa akili yake haiko sawa. Akivuta bangi lake anakuwa na mikwala mbuzi hadi kwa mbabe kama US. 😂😂😂🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Hakuna kitu kibaya kama kumiss kitu unachokipenda. Nime-miss sana hit za HIMARS, kila nikichungulia humu zaidi ya wiki sasa sioni scrapers alizozichakaza HIMARS.

Au HIMARS wetu hawajapata mnuso wakauchangamkia. 😂😂😂
figganigga niletee kazi ya HIMARS wetu.
 
Kapata akili hiyo baada ya kupuliza bangi. Yule jamaa akili yake haiko sawa. Akivuta bangi lake anakuwa na mikwala mbuzi hadi kwa mbabe kama US. 😂😂😂🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
Ngoja anyweshwe kikombe cha Babu labda akili itatulia.
 
Hivi kwani hilo daraja la Antonoviskiy nani amelishughulikia? Mm nilidhani ni Wazee wa HIMARS.
Tusubiri Taarifa na huenda Roho yako ikasuuzika ila scrapers za darajani upatikanaji wake ni mgumu kidogo.
 
Hivi kwani hilo daraja la Antonoviskiy nani amelishughulikia? Mm nilidhani ni Wazee wa HIMARS.
Tusubiri Taarifa na huenda Roho yako ikasuuzika ila scrapers za darajani upatikanaji wake ni mgumu kidogo.
Kwa mujibu wa figganigga hilo daraja jana limeshughulikiwa na M270 MLRS. Akaongeza kwa kusema ingekuwa HIMARS lingeshuka chini. Hata yale maghala ya silaha Donetsk yameshughulikiwa na M270 MLRS
 
Wale Pro Russia walikuwa wanasema eti Drones za Iran zinawatesa Ukraine. Mbona hawajawahi kutupia hata ka picha kamoja.

Naombeni pro Russia mtuwekee hapa hata kama ni ka picha ka kubumba.
 
Kwa mujibu wa figganigga hilo daraja jana limeshughulikiwa na M270 MLRS. Akaongeza kwa kusema ingekuwa HIMARS lingeshuka chini. Hata yale maghala ya silaha Donetsk yameshughulikiwa na M270 MLRS
Ok. Tuvute subira mkuu. Yajayo yanafurahisha
 
Hichi kitu niliota jana usiku, niliona vifaru vya mrusi katika kati ya watu halafu mapambano yalikuwa makali sana.
Kulikuwa na mchanganyiko wa jeshi na raia.
 


Wagner Wamepasuka tena.
Walipost picha , jamaa wa ukrained wakazigeolocate hizo picha kisha wakawashushia mvua ya chuma ta HIMARS

KABLA YA SHAMBULIO.

View attachment 2324140View attachment 2324139


BAADA YA SHAMBULIO
 
Kuondoa hayo madaraja yahitajika payload kubwa, zaidi ya Tani 10 za explosives
 
Wale Pro Russia walikuwa wanasema eti Drones za Iran zinawatesa Ukraine. Mbona hawajawahi kutupia hata ka picha kamoja.

Naombeni pro Russia mtuwekee hapa hata kama ni ka picha ka kubumba.
Weeeee, Picha waitoe wapi?
 
👏👏👏👏Umenipa furaha kwa kweli. Hatimaye HIMARS niliye-miss amepatikana alipo na anachokifanya. HIMARS kashoondoka eneo la tukio kaacha mizoga.

Go on HIMARS we love you.
 
Kuna watu wameamua kukimbia Kherson
Naam! Wameamua kwa busara sana maana Timbwili la Waukraine na HIMARS zao ni la viwango vya juu mno kiasi kwamba majeshi ya Mrusi wao wanaemtegemea hayawezi kufua dafu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…