figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #5,441
Yap> Imekula kwao mazima.Mvumo wa kombora. Warusi wakosa shabaha
View attachment 2341571
Kha! Mrusi anakimbia kama cruser.Hapa ni Izyum, Urusi wakipelekewa moto na Drones
View attachment 2341604
Mhh. "Picha zinavutia kuangalia": Lakini kilichofanyika hadi mavifaa hayo ya Mrusi ikawa hivyo ni kazi nzito mno. Hongera majeshi ya UkraineVifaa vya Kijeshi vya Urusi vyateketezwa. Hapa kuna Vifaru vya Urusi aina ya T-64, BTR-80, MT-LB, na T-72, gari la kivita la Tiger, gari la Dt-30P aka "Vityaz" la Kirusi. Wenyewebwanaita multi purpose. Picha zinavutia kuangalia
View attachment 2341611View attachment 2341612View attachment 2341613View attachment 2341614View attachment 2341615View attachment 2341616View attachment 2341617