figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #5,521
Wamechelewa sana. Wakitoka kwenye hayo mafunzo wataingia moja kwa moja chumba cha mtihani huko Ukraine na ndipo watashangaa kwamba maswali na majibu waliyokaririshwa siyo yaliyomo au yaliyoulizwa kwenye paper. Daadek.Waone hawa wavamizi eti wanajifunza mateke wawe kama jeshi la Ukraine🤣🤣🤣
View attachment 2344203
Yeye mumwache aendelee kuuchapa usingizi wa milele lakini magazine chukueni. Hahahaaa.
Dah! Mahakama ya huko Ahera sasa itakuwa imefurika wateja wa kutoka Urusi.
Eh! Mkuu inakuwaje mtu(nyama) inawaka kama petroli? Au ni hayo mapombe yao makali alikuwa kabugia kupita kiasi?Mrusi kajiingiza jehanamu mwenyewe. Nani ana muda wa kuzima moto. Warudi kwao Urusi kama hawataki kuwaka
View attachment 2344229
Hapo wamefika. Waombe Mungu tu isiwe ni Mikononi mwa AZOV - Vinginevyo Habari yao itakuwa imekwisha. Dah! Usikute ni wale wafungwa.Urusi wakitekwa wanakuwa wapole sana. Utafikikiri sio wababe wa Kuvamia nchi za watu
View attachment 2344217