figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #6,121
Mwisho wa Urusi ni aibu kubwa mnoooUkraine wamekamata gari la Urusi la kutolea comand(1V1003 command) aina ya 1V198 automated artillery fire control system.
View attachment 2362208View attachment 2362209View attachment 2362210View attachment 2362211
Ule uzi mpaka umekosa ladha aisee.Kwenye ule uzi wao wa kudanganyana.
Hapo juu hao wawili wa kulia sio warusi.
Dawa imeingia hapoAngalia Urusi wanavyo tafutana. Hawakujua wanaenda kufa dakika moja ijayo
View attachment 2362157
Ni wa wapi?. Wewe unataka kunitoa kwenye reli. Hawa ni Warusi tena walikamatwa na Polisi wa Ukraine sio Jeshi la Wananchi. Walikamatwa wakiwa wanatoroka KharkivHapo juu hao wawili wa kulia sio warusi.
Dah! Kazi kama KAZI - Safi sana Ukraine. Twanga kabisa hao kenge.Angalia Urusi wanavyo tafutana. Hawakujua wanaenda kufa dakika moja ijayo
View attachment 2362157
Tueleze ni wa wapi?Hapo juu hao wawili wa kulia sio warusi.
Bakhumut is now Russian.Kunguru wa Ukraine watakuwa wamenenepa sana.
Niliwaona kama Mamluki fulani hivi wakipigania upande wa Mrusi.Hapo juu hao wawili wa kulia sio warusi.
Ramstein Air Base GermanyUkraine wamekamata gari la Urusi la kutolea comand(1V1003 command) aina ya 1V198 automated artillery fire control system.
View attachment 2362208View attachment 2362209View attachment 2362210View attachment 2362211
Unaweza kuwa unafurahia nchi kuvamia nchi nyingine kimabavu. Ila kwa taarifa yako sio Bakhmut tu. Pale Donetsk Warusi wameishi tangu 2014 kimabavu. Iweje useme leo? Sisi ndo tunawafurumusha hawaamini macho yao. Mfano Burundi ibamie tanzania halafu mtu aseme, Iringa sasa ni Burindi. Utamuona kama mjinga tu ambaye kichwa chake kimajaa maviBakhumut is now Russian.
Nimekuelewa. mercenaries wote ambao wanavamia kama Urusi, tunawachukulia ni Warusi. Hata Wale Wasyria 28 walokufa, tunachukulia ni Urusi sababu wamekujakuua waukraine. Ukraine inapambana na Urusi, Wanajeshi wenu wakikamatwa msiwakaneNiliwaona kama Mamluki fulani hivi wakipigania upande wa Mrusi.
Ni siasa🤣🤣 Ndo airbase NATO wanafanyia mazoeziRamstein Air Base Germany