Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Warusi wametelekeza mzigo
IMG_20220920_043724_888.jpg
IMG_20220920_043722_293.jpg
IMG_20220920_043720_470.jpg
IMG_20220920_043717_922.jpg
IMG_20220920_043716_580.jpg
IMG_20220920_043714_274.jpg
IMG_20220920_043712_486.jpg
IMG_20220920_043708_445.jpg
 
Bakhumut is now Russian.
Unaweza kuwa unafurahia nchi kuvamia nchi nyingine kimabavu. Ila kwa taarifa yako sio Bakhmut tu. Pale Donetsk Warusi wameishi tangu 2014 kimabavu. Iweje useme leo? Sisi ndo tunawafurumusha hawaamini macho yao. Mfano Burundi ibamie tanzania halafu mtu aseme, Iringa sasa ni Burindi. Utamuona kama mjinga tu ambaye kichwa chake kimajaa mavi
 
Niliwaona kama Mamluki fulani hivi wakipigania upande wa Mrusi.
Nimekuelewa. mercenaries wote ambao wanavamia kama Urusi, tunawachukulia ni Warusi. Hata Wale Wasyria 28 walokufa, tunachukulia ni Urusi sababu wamekujakuua waukraine. Ukraine inapambana na Urusi, Wanajeshi wenu wakikamatwa msiwakane
 
Wakuu, itoshe kusema Urusi wamekufa hadi tumelipiza kusasi na kuchoka. Tumeteka vifaru mara 18 ya vifaru vilivyokuwepo. Mifumo ya jeshi na silaha ns risasi ndo usiseme. Sababu Urusi wameshakili wanajeshi wao wanakufa, sina sababu ya kupost mizoga yao. Wapo wengi wametapakaa wengine wanapumulia pua moja. Unamuacha afe kwa amani
IMG_20220920_194933_693.jpg
 
Back
Top Bottom