Halafu katoka mkoa maskini sana huko Russia. Wanajeshi wengi wa Russia wametokea mkoa huo. Watu wengi waliozaliwa maeneo ambayo yana umaskini sana daima wanakuwa na roho mbaya na wivu wa kutopenda wenye uwezo (matajiri). Imagine atakuwa ameua wa-Ukraine wangapi ambao hawana hatia. Bora amekufa kifo kibaya namna ile.Katoka huko kwao Urusi kaja Ukraine kuua kizazi cha Ukraine. Kafa yeye
View attachment 2369899View attachment 2369900View attachment 2369901
Anafikiri uanajeshi ni kuvaa mavaziMobilized wa kwanza kadakwaπ€£π€£anahema juu juu. Anadai alikuwa mobilized 21 Sept 2022. Kaletwa Frontline moja kwa moja.
View attachment 2370026
Piga haooooooAngalaia Convoy ya Urusi ilivyoteketezwa karibu na mji wa Liman. katsaps wanajuta kuja Ukraine[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2369609
Aha haha naona ananyenyua kitambaa cheupeHawa Warusi baada ya kuona wenzao wengi wamekufa na wengine kujeruhiwa, ikabidi wajisalimishe. Ni baada ya kupelekewa moto. Muda wote walikuwa hawajaona drone kama ipo juu yao
View attachment 2369572
π€£π€£π€£π€£ We jamaa una utani wa kuumiza sanaModerator Sasa namna hawa warusi wanavyozuiwa kuingia nchi za ulaya hamna utawaratibu wa kuwazuia hawa warusi wa JF kulog in hapa JF?
Zinafanana fanana kama yale matokeo ya kwetu ya 2020.Urusi hawajielewi. Maswala ya referendums, imebidi 77% iwe na bar ndefu kuliko 88%π€£π€£π€£ hii ndo inaitwa lazima tushindeπ€£π€£
View attachment 2370036
Hawa mobilized wanapewa ahadi lukuki, umaskini wao ndo unawaponza. Hawajaja kupigana Ukraine sababu ya uzalendo wa kupenda nchi yao bali ni njaa tu.Mobilized wa kwanza kadakwaπ€£π€£anahema juu juu. Anadai alikuwa mobilized 21 Sept 2022. Kaletwa Frontline moja kwa moja.
View attachment 2370026
Wanakimbilia wapi wakati wao ndio wavamizi?Angalia foleni ya Magari ya Warusi yanayosubiri kuvuka Mpka akuingia Georgia. Warusi wanaogopa kwenda kwenye vita Ukraine. Ni baada ya kusikia Muziki wa HIMARS
View attachment 2369563
Hawa sio Warussi esp. huyo wa kwanza hapo juu ni wasakatonge. Sasa analia nini si asubiri kupata hela?
Safi kabisa. Na Hicho ndicho kikubwa kilichobaki kwa mobilised.Kumekucha
View attachment 2369796
... Russia is a huge country with a diversity of people. Mashariki ya mbali kule wanapatikana jamii zenye asili ya kijapan na kikorea. Kusini mashariki jamii za kichina na kimongolia; southe-west mchanganyiko wa kihindi (wahindi, wanepali, Pakistan, Afghanistan); west zinapatikana jamii zenye uzungu zaidi.Hawa sio Warussi esp. huyo wa kwanza hapo juu ni wasakatonge. Sasa analia nini si asubiri kupata hela?
Naam. Hiyo ni salam ya kwanza . Ijayo watakuwa ni wao.Wakiona miili ya Warusi imetapakaa hivi, wanaogopa
View attachment 2369890
Shukrani kwa ufafanuzi. Nilidhani ni mmojawapo wa wanamgambo laki moja kutoka kwa yule "Mapanki"... Russia is a huge country with a diversity of people. Mashariki ya mbali kule wanapatikana jamii zenye asili ya kijapan na kikorea. Kusini mashariki jamii za kichina na kimongolia; southe-west mchanganyiko wa kihindi (wahindi, wanepali, Pakistan, Afghanistan); west zinapatikana jamii zenye uzungu zaidi.
Jamii hizo "zikiingiliana" kwa miaka mingi you can guess the output - ndio manaa unaona kama sio warusi kwa maana ya warusi tunaowafahamu zaidi wa upande wa west ambao wana uzungu zaidi kuliko maeneo mengine ya Russia. Ila pia nakubali mamluki hawakosekani.
Mkuu, Moto wa Ukraine ni balaa. Wakati mwingine huo moto wa Ukraine unaweza kukusababishia mfadhaiko mkubwa sana kabla ya kuupokea kwa mikono miwili. Hahahaaaa.Hicho kifundo ni nini katikati ya miguu πππ au ni bomu la warusi limegoma kulipuka.