Hongera sana. Kazi iendelee.Kupiansk-Vuzlovyi iliyopo Mkoani Kharkiv imekombolewa. Hapa ndo njia panda kubwa ya reli
View attachment 2370029
Anabahati kubwa sana huyo. Kwanza kadakwa i.e. yuko hai.Hawa mobilized wanapewa ahadi lukuki, umaskini wao ndo unawaponza. Hawajaja kupigana Ukraine sababu ya uzalendo wa kupenda nchi yao bali ni njaa tu.
Wamezoea kuangalia movies za kivita, wanafikiri wanakuja kucheza cinema. Wakifika field ndo wanajua kumbe kuna keupe na kekundu.
Anahema kama mbwa koko.
POWs watakuwa wengi sanaMobilized wa kwanza kadakwa[emoji1787][emoji1787]anahema juu juu. Anadai alikuwa mobilized 21 Sept 2022. Kaletwa Frontline moja kwa moja.
View attachment 2370026
Ha ha ha! Kila mmoja anawaza lake! Hii vita ya kulazimishana noma sana.Mobilized wakiwa Sevastopol huko Crimea.
Tunawafuatilia kwa karibu🤣🤣🤣
View attachment 2370572View attachment 2370573View attachment 2370574
... all the best mwamba; sijui tumtakie RIP kabisa? Anyway, the best kwake, chance yoyote itakayopatikana ajisalimishe kwa majeshi ya Ukraine soonest possible as it might be practicable.Huyu Mtanzania anaishi Krasnodar huko Urusi, ni moja ya Vijana wa Kiafrika wanaoishi Urusi ambao wamekuwa Mobilized🤣🤣🤣
View attachment 2370584
Na heleni zake, akifika field wanaume watamgeuza kifudifudi. Ungemshauri asiende huko atakuwa chakula cha kunguru.
Ni kweli mkuu, lakini tusiwajumlishe Warussi wote hapo. Wapo Warussi baadhi na pengine ni wengi hawakukubaliana na Uvamizi huo. Uvamizi wa Russia kwenye ardhi ya Ukraine kimsingi ulifanywa/ulipitishwa na Putin na genge lake.Wanakimbilia wapi wakati wao ndio wavamizi?
Mhhhh. Duh! ni Askari kweli au ni igizo la wazee waliovaa kombat?Hivi labda nimesoma hapo vibaya kwani dhana halisi inayojitokeza katika picha ninaona ni MORTALIZED. Hao watu Wamechoka mno - ukiondoa hizo kombat na silaha utawaona vizuri jinsi walivyopinda. Hawafai kwa kazi iliyokusudiwa manake hawa ni wale walioshindwa kukimbia au kutoroka wakati wa ile Kamata-kamata kusanya watu mitaani(Mobilization). Huyo mzee wa mbele katikati (mwenye mvi) anaishangaa silaha aliyopewa.Mobilized wakiwa Sevastopol huko Crimea.
Tunawafuatilia kwa karibu🤣🤣🤣
View attachment 2370572View attachment 2370573View attachment 2370574
Ah Waapi. Hakuna Mtz anaweza kufanya ujinga wa namna hiyo wakati maisha yenyewe ndo haya.Ndo maana nawaambia Putin anaasili ya Tanzania huyu....
Mama weee. Huyo dogo amekulia kwenye tenga ndo mana hadi anakusanywa yeye (Me) bado kaning'iniza hereni. Mtz original hana huo mzubao na uzembe ki vile. Mtz Oji angelisepa fasta kusikojulikana hata kama ni kuingia chaka mambo mengine baadaye.Huyu Mtanzania anaishi Krasnodar huko Urusi, ni moja ya Vijana wa Kiafrika wanaoishi Urusi ambao wamekuwa Mobilized🤣🤣🤣
View attachment 2370584
Hilo ni la uhakika na itakuwa ni gharama kubwa mno kwa Ukraine peke yake kubeba mzigo wa kuwatunza. Ikiwezekana mataifa rafiki waombwe ili kufungua kambi nchini mwao za kuwapokea na kuwahifadhi hao POWs.
Hapana mkuu. Bado zipo chances nyingi za yeye ku-survive. Cha msingi hapo ni yeye kumuomba tu Muumba wake. Lakini ni bahati mbaya sana vijana wa siku hizi a.k.a.vijana wa dotcom hilo hawalikubali wanadai eti Mungu hayupo.... all the best mwamba; sijui tumtakie RIP kabisa? Anyway, the best kwake, chance yoyote itakayopatikana ajisalimishe kwa majeshi ya Ukraine soonest possible as it might be practicable.
Labda angelimshauri aachane na hizo hereni cjui bangili alizojivika kwani hakuna tena jinsi. Kwenda sio hiari tena bali sasa ni lazima. Mrussi (Putin) aisee! Haangalii makunyanzi- uwe ni Mtz, Mkenya, Mkongomani, Mnyarwanda, Mkomoro, mzee,kijana, woote twende kazi kupambana na frontline ya Ukraine. Swali: Je, hao wooote wakiisha teketezwa atafuata nani?Huyu Mtanzania anaishi Krasnodar huko Urusi, ni moja ya Vijana wa Kiafrika wanaoishi Urusi ambao wamekuwa Mobilized🤣🤣🤣
Na heleni zake, akifika field wanaume watamgeuza kifudifudi. Ungemshauri asiende huko atakuwa chakula cha kunguru.
Sheria imepitishwa Urusi, ukionesha dalili za kujisalimisha unafungwa jela miaka 10. Hata ukionesha huna nia ya kushambulia adui... all the best mwamba; sijui tumtakie RIP kabisa? Anyway, the best kwake, chance yoyote itakayopatikana ajisalimishe kwa majeshi ya Ukraine soonest possible as it might be practicable.
"HIMAS" hazifiki huko?Mobilized wakiwa Sevastopol huko Crimea.
Tunawafuatilia kwa karibu🤣🤣🤣
View attachment 2370572View attachment 2370573View attachment 2370574