Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Mkuu; Huyo ametumwa.
 
Hapo sasa. Mrussi lazima poo imtoke.
 
Wahenga walisema "Penye wazee haliharibiki neno" Hao ndo Wazee wa HIMARS. Hawajawahi kumLet down mtu. Kama ni kutoa kichapo basi ujue ni kichapo kweli kweli hadi mtu anaomba poo. Mrussi(Putin) anajutia sana kitendo chake cha kuanzisha hii vita manake inamgharimu mno Vifaa/Mali; Akili (inampa stress), Imeyumbisha sana Uchumi wa nchi, Vijana wake askari wengi wameuawa na bado wanaendelea kufa, kuwa vilema; Kimataifa vita hii imemuumbua i.e. ni aibu kwake, amejiongezea/amejilimbikizia maadui na hakuna dalili hata chembe ya yeye kushinda katika vita hii.
 
Tuwaombee waendelee kuwa na kiburi ili ardhi ya Ukraine ipate rutuba ya kutosha. Hao 6 si haba watapungua taratibu.
 
Urusi Wanataka mazungumzo. Wanataka Ukraine iache kushambulia Lyman(To ceasefire) ili kunguza vifo.

Lakini jana Urusi waliambiwa wajisalimishe hawakutii. Walitaka wapetiwe petiwe.
View attachment 2373758
Ukraine wasikubali hayo mazungumzo. Wawakandamize ili liwe funzo. Kama ni mateka wa kubadirishana watapatikana mbele kwa mbele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…