figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #6,761
Hawa sio Ukraine ni wamerakani kabisa...Angalia Ukraine tulivyo pelekewa moto, hiki kikosi kilienda kwenye kambi ya Urusi kuchungulia wanafanya nini. Hakuna aliyekufaπ€£
View attachment 2376696
Kwani kuna ubaya gani. Mbona hujalalamika kuhusu vifaa. Kwa hiyo kwenye troops za Russia unaamini wanajeshi wote ni warusi.Hawa sio Ukraine ni wamerakani kabisa...
Front line wako full na smart board.Wakati Frontline ya Urusi inatumia ramani ya Makaratasi ya USSR, Frontline ya Ukraine inatumia google Map
View attachment 2376698
Kuna tatizo gani? Ukraine iliomba Wanajeshi wa kujitolea wamsidie kumfurumsha Mrusi mvamivi wa nchi ndogo. Ulitaka Wamarekani wasijitokeze? Ulitaka waende Wasyria tu kumsaidia Mrusi sio?Hawa sio Ukraine ni wamerakani kabisa...
Good morning kutoka pro-Ukraine. Hangera sana. Kaza mwendo malizeni mchezo na huyo Joka jekundu.Good morning kutoka Mji uliokombolewa wa Shevchenkovka, Kherson
View attachment 2376625
Tunamshukuru Mungu- Kicheko: Nyie mlienda kutafuta umbeya kwa kupiga chabo shauri zenu mie simo. π π π π πββοΈπββοΈAngalia Ukraine tulivyo pelekewa moto, hiki kikosi kilienda kwenye kambi ya Urusi kuchungulia wanafanya nini. Hakuna aliyekufaπ€£
View attachment 2376696
Mkuu, We jasiri kweli aisee. Ulikuwa nao recon. halafu ukaacha kazi iliyokupeleka eneo hilo ww ukawa unazisoma ID zao?? Tuthibitishie mkuu ili tuamini.Hawa sio Ukraine ni wamerakani kabisa...
Mrussi akibwatuliwa huwa anachanganyikiwa mazima. Wanakimbizana nenda-rudi mara kichakani - utadhani ni kuku aliyesahau mahali anapotagia mayai.π€£π€£π€£
View attachment 2376738
Kherson leo Warusi wamebutuliwa hadi basi. Tumekomboa moji zaidi ya Sita. Daraja limelipuliwa tenaKijiji cha Novopetrivka huko Kherson kimekombolewa, wananchi wawapokea mashujaa kwa furaha
View attachment 2377051
Machozi yamenitoka.Frontline walivyotinga Borova
View attachment 2377210
Ghafla wamepoteana baada ya kukoswa koswa. Kwa mbio warusi nawapa heko, hata swala Haoni ndani ππππ€£π€£π€£
View attachment 2376738
Upande wa magharibi mwa Kherson, Ukraine ililipua daraja mara kadhaa, kwa hiyo wanajeshi wa Urusi wa huko hawana re-inforcements., Kama walichelewa kukimbia kutoka ktk upande huo watapata shida sana.Tangu vita ianze, jana na leo ndo tumewaweza Warusi Mkoani Kherson. Wanaretreat kama hawana akili. Mbioo... π€£π€£
View attachment 2377335